mkuu mimi ni mdau wa serikali tatu,Wala sina chama cha siasa,katika Sakarya hili la mungano ni CCM ndio wenye msimamo wa serikali mbili,lakini ujue kuwa katika wafuasi wa kakobe na CCM wako vile vile sasa unataka kuniambia kuwa wanachama wa CCM wamkimbie kakobe
chabuso;
Naamini utanielewa kwa nini nimempenda Kakobe. Hata ccm aliyemsikiliza atajitahidi kutafakari kidogo aone chema kilichoko ndani ya serekali 3 amuunge mkono. Hatuna mahali pa kusemea hoja zetu ka si majumba ya Ibaada kama Lukuvi