BISHOP KAKOBE::Tanganyika Huru Lazima Ipatikane

BISHOP KAKOBE::Tanganyika Huru Lazima Ipatikane

Nikiuchungulia ulimwengu wa roho nazisikia tarumbeta zinalia na Mungu aliyeumba Tanganyika analiambia lile joka la zamani liitwalo Ibilisi na shetani, 'itapike Tanganyika na mali zake ambazo ulikuwa unazitoa kwa wale wanaotoa kafara za watoto kwako, nimechoka na vifo vya watoto ambavyo umewadanganya watu wangu kuwa ni matatizo ya kiafya'.
 
Dini na siasa ni vitu viwili tafauti,ushauru wangu Askofu angalia neno la bwana acha siasa kwa wanasiasa

Siku hizi hamuwatoi watu kwenye hoja, mambo ya zamani eti siasa na dini ni vitu viwili tofauti? Siasa ni maisha sio taaluma, kama asiposema kakobe mtu mwingine atasema, asiposema mtu yeyote jiwe litasema.
 
We ndio unatokwa na povu hapa kwa kusikiliza propaganda badala ya facts,

1)Hoja ya kutoa utabiri wa Mrema kuwa atakua rais ilishajadiliwa sana hapa sina haja ya kuirudia, do your homework

2)Kuhusu nyaya za umeme kupitisha umeme pale, kwa taarifa yako umeme haujawahi kupita pale, Waandisi toka UDSM waliposhindwa kutoa facts ni kwa nini kuna "VOLTAGE DROP" kwa umeme unapofika pale kwa Kakobe walishindwa kuja na majibu ya maana serikali yako tukufu ikaamua kuwaleta wajapani wafumue vile "VIKOMBE" na kuweka vipya, zoezi lilipokamilika walipopima wakauta kuna kitu wanaita "VOLTAGE SURGE" na wakashidwa kujua ni kwa nini kwa maana kila kitu kiko sawa, cha ajabu katapila lao likazima kabisa na kushindwa kufanya kazi wakaogopa wakakimbia na kuacha mitambo yao na waandishi wa habari wakapiga picha mpaka leo

Umeme haujawahi kupita pale na hautapita, mabingwa wa electronics toka JAPAN wameshindwa kujua chanzo na tangu walipoaga mpaka leo hawajarudi hata kuchukua vifaa vyao. Na JK mpaka leo hajawahi kuuzindua ule mradi ambao waliufungua kwa mbwembwe zote mbele ya kamera na umewagharimu billions 30

Ehhh...ati??!!
 
Mapepo ya CCM yametibuka maana walidhani upuuzi wao utapita kimya kwa vile tayari wameshawahonga viongozi was dini. Kwa Kakobe mmenoa maana hahongeki, yule no mtumishi wa Mungu na sio kiongozi wa dini.
 
Am strictly muslim who knows and realy understands what Islam is....I stand with a man who stands righ,I stand with him when he is definitely right and absolutely stay apart with him when he goes wrong....sina utashi wala ushabiki wa chama chochote cha siasa ila katika hili namuunga mkono Bishop kakobe asilimia 100....big up kwako na Rev Mtikila....
 
Huyu jamaa kuna siku watz na dunia watamuelewa tu....
 
Hao MaCCM walisha msahihisha Mwl Nyerere siku nyingi!! Wao walipo libomoa Azimio la Ars tayari walisha ondoa umuhimu wa maagizo yake!!!
Kwa hili la muungano hakuna mwenye uelewa kuliko Mhs Jdg Warioba, kumpuuza ni kuingiza taifa kwenye majanga!!
 
Kama mchungaji ana wajibu wa kuwapa maarifa ya kiMungu waumini wake. Na ameweza kuwaonesha leo kuwa mpango wa Mungu ni kurudi kwa Tanganyika. Naongeza maarifa zaidi kuwa Tanganyika ilitolewa kafara kwa Lucifer katika zindiko la nchi, sasa mfalme wa utukufu anakaribia kurudi ni lazima Lucifer aitapike Tanganyika apende asipende.

Lucifer......ndio nani, au askofu alikusudia Nyerere ndio Lucifer
 
Kakobe ni mtumishi wa bwana asiye mnafiki .chunguza vizur utagundua kuwa wale wanao jiita watumishi wa bwana wana jipendekeza kwa serikali au kwa viongozi waserikali.
 
Kakobe ni mtumishi wa bwana asiye mnafiki .chunguza vizur utagundua kuwa wale wanao jiita watumishi wa bwana wana jipendekeza kwa serikali au kwa viongozi waserikali.

hujipendekeza wapewe angalau ya juice mfano....ngoja kwanza ntarudi kumtaja.....

ila yule ukiwa unaenda bagamoyo kuna beach yule nywa..
 
Back
Top Bottom