Biswalo atafaa kuwa Jaji Mkuu, alionesha uwezo mkubwa wa kushawishi kumalizwa kesi nje ya Mahakama

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa sasa kipaumbele cha Mahakama duniani kote ni kujitahidi kumaliza kesi kwa njia ya Usuluhishi badala ya Kuhukumu.

Akiwa Mkurugenzi wa Mashtaka Mh. Biswalo alionyesha uwezo mkubwa katika eneo Hili la ushawishi na nadhani ndio sababu alipandishwa cheo na kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.

Wakati Jaji Mkuu Prof. Juma akielekea kustaafu Biswalo ni miongoni mwa Vijana wanaoweza kuvaa viatu vyake

Mungu wa mbinguni akubariki!
 
Ina Li Lai Rajuuuniiiii....
 
Pia kuwe plea bargain kwa wezi wa kuku wakirudisha waachiwe, isiwe sheria ya wenye fedha tu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Rubbish!
 
Ila njaa mbaya san 🤣🤣🤣 ila mtajua hamjui!!
 
Upumbavu ni Kipaji pia
 

Punguza unafiki
 
Kutokana na nchi yetu kuabudu ufisadi anaweza kupewa ujaji mkuu.
 

Kibaka awe jaji mkuu?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…