Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Body language ya huyo baba anaemsikilza biswalo, sura alivoiweka na alivokunja ngumi ni kama anapewa taarifa ya mtu halafu anawaza "hiiii huyu naye nitamuuwa"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimekusalimia tu, mamb ya majungu yanatoka wap tena!! Kama ni issue ya ple bargain sheria zipo. Usiwe na hasira mzalendo wa kweli!Biswalo ni mweledi acheni majungu.
HATA MUSIBA MLISEMA HIVYO HIVYO LEO KABANA HAJA KUBWA wote mmemkimbiaView attachment 2583436
Mh Judge Biswalo ni kiongozi muadilifu, mchapakazi, mtenda haki.
Aliopokuwa DPP aliifanya kazi yake kwa weledi mkubwa. Alihakikisha mafisadi wanaonja uchungu wa kuiba mali za watanzania bila kuonea mtu.
Sasa mafisadi na majizi yanatumia nafasi waliyopewa kulipiza kisasi kwa kumchafua na kumdhalilisha.
Biswalo kama mzalendo alikuwa anatimiza wajibu wake wa kisheria kwa kusimamia sheria iliyotungwa na bunge.
Ripoti ya CAG haijaonesha sehemu yoyote kuwa Biswalo kaiba pesa. Kilichotokea ni issues za procedures tu ila pesa inayozungumzwa kwa mujibu wa CAG ipo kwenye akaunti ya serikali kilichotokea ni kuweka akaunti tofauti na ilivyozoeleka.
Biswalo angekuwa ana makosa kama angeweka pesa kwenye akaunti yake binafsi au angetorosha.
Sisi wazalendo tunasema pamoja na kampeni chafu dhidi yako wananchi tuko pamoja na wewe na uendelee kufanya kazi uliyoaminiwa na Rais.
Malaya mkubwaBiswalo ni Judge kaaminiwa na Rais wewe unachoweza ni kutoa povu
Wa hovyo kweli kimeandikwa kitabu tu hapo hata kusoma hawajasoma wanawajibu kina ngurumo kwa matusi. Tulieni nunueni kitabu musome mkiwa pembeni ya kaburi la juhaWazalendo wa konyo
Mweledi wa please bargain?Biswalo ni mweledi acheni majungu.