Biswalo piga kazi wazalendo tupo nyuma yako

Body language ya huyo baba anaemsikilza biswalo, sura alivoiweka na alivokunja ngumi ni kama anapewa taarifa ya mtu halafu anawaza "hiiii huyu naye nitamuuwa"
 
HATA MUSIBA MLISEMA HIVYO HIVYO LEO KABANA HAJA KUBWA wote mmemkimbia
 
Eti mzalendo

Nani kakuambia kuna mzalendo

Bongo

Ova
 
Wazalendo wa konyo
Wa hovyo kweli kimeandikwa kitabu tu hapo hata kusoma hawajasoma wanawajibu kina ngurumo kwa matusi. Tulieni nunueni kitabu musome mkiwa pembeni ya kaburi la juha
 
Jambazi la Jua kali na piper bila huruma yaani ilo jitu roho yake imeunguzwa na ana kovu tu!
Lakini roho hamna kitu walahi!
Mwenye Enzi Mungu ndio mtetezi wetu walahi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…