Bitcon Itaua Watu

Unashare rumors za kijinga.

Kwa kuwa huelewi kitu usiwapeleke watu kwenye hasara.

Mimi nasema investors wote wa Bitcoin na altcoins kwa ujumla
Just hold hold soon Btc baada ya mwezi mmoja itafika USD 20,000
 
itapanda tu sisi kama wataalam wa Forex hyo Pattern tunaita Dinosaur.
Hahaaa wenye mioyo migumu ndio wanatoboa maisha Jestkilla umenifurahisha sana nakupa complementary tuka-gestike kwa gharama yangu.

Utajiri ni kwa ajili ya risk takers.
 
We value imeshuka nusu ndiyo unawaambie wauze? Ushauri mbaya sana. Huu si muda wa kuuza kabisa utapokea loss tu. Bora usubiri istabilize
 
Trump ndiye ataizika hii kitu kwa sababu ya North Korea
 
Think you had a rough day in crypto..

Mark Zuckerberg lost $3.6 billion today.

Jeff Bezos lost $3.2 billion.

Google's founders lost $2.3 billion, each.

Bill Gates lost $2.2 billion.

(Source: Bloomberg)
+ ONTARIO lost $ 70000
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
We value imeshuka nusu ndiyo unawaambie wauze? Ushauri mbaya sana. Huu si muda wa kuuza kabisa utapokea loss tu. Bora usubiri istabilize
Mkuu kwani "Binti Coin" anaenfeleaje ?
Keshapanda thamani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…