Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

lazima kanisa limpigie debe ndilo alilolitumikia kwa muda wote aliokuwepo, kawacha "legacy" ipi kwa Watanzania kwa ujumla wao?
 
TATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHI
Rostam kafanyaje ?
 
lazima kanisa limpigie debe ndilo alilolitumikia kwa muda wote aliokuwepo, kawacha "legacy" ipi kwa Watanzania kwa ujumla wao?
Samahani sina mlengo wa ushabiki wa kidini. Mitanzania ya siku hizi imejawa udini na ukanda. Uwa siamini katika udini, ukanda wala ukabila.
Ninaishi na dini zote, kanda zote, na makabila yote wote tunaelewana. Pole kwa udini wako.
 
Nadhani hujui lini Nyerere aliachia madaraka ya Urais. Shida vijana wa sasa mpo kiushabiki hamjui hata historia ya nchi. Mmebakiza uchawa tu. Ni sawa na Raois mmoja alikuwa anajaribu kufuta legacy ya Nyerere. Mtahangaika sana na roho yenu ya korosho.
Acha porojo!
 
Bado yuko very soft sana ni kama hata mwenyewe hajiamini
Tulisema hatutaki tena viongozi wakali. Acha tubaki na viongozi walio soft soft maana Wa Tz hatutaki kuwajibishana tunaoneana aibu.
 
Kambi zake za jeshi ziko wapi tukajiunge?
Kambi zake hizi huku angalia mwisho utamwona mtu mmoja hapo mtambue ni nani?
Your browser is not able to display this video.
 
Where are the Deep State?

Hii nchi ilishakufa Zamani sana
 
Kikwete hajabuni gesi kama chanzo cha umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…