Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

TATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHI
Umeongea ukweli mkuu,huyu rostam aziz amekalia vibaya nchi yetu,huyu anafaa aliwe kichwa.
 
We njaa itakufanya umchukie kila mtu, eti unatamani rostam afe,akifa wewe ndio umaskini utakutoka bibie!!
Huyo akifa siyo mimi tu hata tsifa litapumua ila ishalaaaa kuna hawa watu watakufa kwa mapenzi ya mungu hivi karibuni Msoga ,makamba , kinana ,rostam kuna baadhi wataganja tu ndani hii miaka 4
 
Huyo akifa siyo mimi tu hata tsifa litapumua ila ishalaaaa kuna hawa watu watakufa kwa mapenzi ya mungu hivi karibuni Msoga ,makamba , kinana ,rostam kuna baadhi wataganja tu ndani hii miaka 4
Utakufa wewe unaepphilwa kutwa kucha
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-122641.png
    67.7 KB · Views: 2
Tanesco hawatumii Taifa Gas, hiyo ni kwa ajili ya kusongea ugali wako.

Maana ulivyoandika unaonesha hata ubwabwa huujuwi.
Watu wengi ni mbumbumbu Hadi wewe Mzee inawwazidi kufikiria.

Taifa gas na naturala gas ya Kuzalisha umeme wapi na wapi?
 
Mimi hadi sasa siamini takwimu za kwamba 65% ya umeme chanzo chake ni gesi...

Hivi mbona kabla ya uwepo wa CNG, umeme ulikuwepo toshelevu, kama ni mgao ulikuwa unakuwepo wakati wa kiangazi tu...
Kwani ni Suala la kuaminika kama kwa Mwamposa au ni swala la uzalishaji ni terms of megawatt?

Acha ujinga
 
Ndio hadi anasepa vilikufa na alifeli mbaya kwenye uchumi.

Yeye alikiri Sasa wewe unamlosha maneno ya nini?

Kumtolea mfano Nyerere kwenye uchumi ni ujinga wa Haki ya Juu,sawa tuu na Mwendazake alivyokuwa anatutumbukiza shimoni.
 
Umeandika Takataka,ukimbiwa thibitisha Kwa hesabu huna majibu
 
Hata January hakufikia malengo,kukatika Kwa umeme hamuwezi kuisha Kwa sababu Bado Kuna miundombinu imechoka Nchi nzima.

Tutakuwa na umeme wa kutosha lakini katika katika itakuwa pale pale maana Kila sehemu kunahitajika repair.

Kama mumekaa hapa mnadhani baada ya bwawa ndio katika katika ya umeme itaisha sahauni.

Happy utakuwa umetibu shida moja ya output ila distribution na maintenance itakuwa Bado sana
 
Mdugu mwananchi tunaomba namba yako na mahali ulipo kwa utatuz zaid
 
Mkoani kwangu Tanesco wanakuja mda wowote hiyo ya Mkoa wako ambako wanalala ni wapi maana Wana kitengo Cha dharula masaa 24 kama watu wa hospital au zimamoto.
 
Watu wengi ni mbumbumbu Hadi wewe Mzee inawwazidi kufikiria.

Taifa gas na naturala gas ya Kuzalisha umeme wapi na wapi?
Huko kote huyo jamaa ana HISA niulize mimi hiyo taifa ni yake ila kwenye vitarlu vya gesi Rostam azizi ana umiliki mkubwa
 
Huko kote huyo jamaa ana HISA niulize mimi hiyo taifa ni yake ila kwenye vitarlu vya gesi Rostam azizi ana umiliki mkubwa
Kwani Rostam Kumiliki vitalu vya gas ndio inahusianaje na kukatika Kwa umeme Tanesco au kutokarabati kitambo?

Nchi hii Ina gas kuanzia Lindi,Mtwara na Ruvu na ndio maana Serikali inataka iuze Nchi jirani.

Yaani Rostam na Tanesco wapi na wapi?
 
Kwani Rostam Kumiliki vitalu vya gas ndio inahusianaje na kukatika Kwa umeme Tanesco au kutokarabati kitambo?

Nchi hii Ina gas kuanzia Lindi,Mtwara na Ruvu na ndio maana Serikali inataka iuze Nchi jirani.

Yaani Rostam na Tanesco wapi na wapi?
Uliwai kumsikia RAIS Samia alipo sema kuna watu walikuwa wana kwamisha kwa nguvu zote bwawa la nyerere kwenye uongozi wake? Sasa niambia kwanini rais hakuwataja hao watu na je angewataja unadhani wangekuwa wakina nani tumia akili acha kutumia kijambio kufikiri kima wewe
 
Kwani Rostam Kumiliki vitalu vya gas ndio inahusianaje na kukatika Kwa umeme Tanesco au kutokarabati kitambo?

Nchi hii Ina gas kuanzia Lindi,Mtwara na Ruvu na ndio maana Serikali inataka iuze Nchi jirani.

Yaani Rostam na Tanesco wapi na wapi?
Pia hoja yako ni taifa gesi nikakuambia vitalu pia anamiliki na ndiyo gesi inayotumika kuzalisha umeme
 
Binafsi sijawahi sikia Rais Samia anasema Kuna watu wanakwamiaha bwawa ila nakisikia wewe sana sana nilimsikia awamu ya 5 kwamba watu wanapinga ujenzi wa bwawa.

Uliwahi msikia Mwendazake alisema Rostam anakwamisha bwawa? Mbona ndio kwnza alimualika Ikulu na kuzindua brand ya Taifa gas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…