Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

Anakwamishaje mkuu
TUMIA AKILI WANACHOFANYA NI HIKI ...UMEMSIKIA WAZIRI ANASEMA ZAIDI YA ASILIMIA 65 YA UMEME WETU NI WA GESI HAPO SIYO KWELI NA NDIYO NJIA WANAYO TUMIA KULIPANA MABILION NA KUFISIDI NCHI ....WANACHO FANYA NI KUDSNGAYA KIWANGO CHA UMEME TUNACHO PATA KWA GESI ...umeme wa gesi tz unazalisha umeme chini ya asilimia 34% kwa hiyo hiyo asilimia 30% pesa wana tia mifukoni wakilipa makampuni ya gesi pesa hiyo na kugawana kwacmlango wa nyuma
Na ndiyo maana wanakwamisha bwawa la umeme maana serikali ingejitegemea kwa asilimia 100% hivyo dili zao za kudanganya kuwa tumeuziwa gesi ya mabilioni ingekufa
 
Wakati Nyerere anaondoka mwaka 1985 ulikuwa wapi na ulikuwa na umri gani?
Kwa tàarifa yako Nyerere aliondoka kwa kuwa nchi ilifirisika.
Ilifirisika mikononi mwake kutokana na sera zake.
Viwanda vilikuwa magofu, havikuwa na uwezo wa kuzalisha Mali, maana ni kama vilikufa.
Havikuwa na uwezo wa kununua maligafi, havikuwa na uwezo kufanya ukarabati wa majengo na mitambo. Viwanda na bàdhi ya mashirika ya uma kama RTC, BHESCO, AISCO, DARTEX, HOSCO, RETCo nk, havikuwa na uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi wake.
Suluhu ilikuwa kuviuza, wafanyabiashara wazalishe ili serikali ikusanye kodi.
Haya yalikuwa ni moja ya mashariti ya Benki ya Dunia na shirika la fedha ulimwenguni.
Ungekuwepo wakati huo usingeropoka upuuzi huu.
Nyerere alipambana sana na wazungu na kuwaua kuanzia africa kusini nk kama ujui hivyo aliwekewa vikwazo chungu mzima nyerere akushikamana na Israel.....tatizo lenu mnajifanya wapumbavu kuelewa siasa za nyerere zilikuwa azipendwi na wabeberu ....na hata majuzi tuliona JPM alivyo andamwa na mabeberu hadi mabeberu yakasema ni bora tz iwe inaongozwa na marais waisiharamu .....mabeberu wa madini na wengine wanao fanya ufisadi nchini wanasema bora tz iwe daima na marais waisiharamu unajua kwa nini?
 
Kama umeme tunaotumia 65 % ni wa gesi , maana yake mabwawa karibu 5. tuliyo nayo (Mtera ,kidatu, kihansi ,hale , nyumba ya mungu ) kwa pamoja yanatoa asilimia 35 tu
Hakukuwa na haja ya kuhangaika na bwawa la nyerere
Wewe unaamini maeneo aliosema Biteko??
 
Nitajie nyerere kaondoka madarakani nchi ilikuwa na viwanda vingapi je ngege tulikuwanazo ngapi ...dawayenu mafisadi ni kupigwa chuma ya tigo tu
Mkuu mwenzio kakujibu vizuri, hajakutukana, kwa nini umtukane vibaya hivyo?

Mkuu tujadiliane kama watu wazima wenye uelewa wa mambo, kwa staha, kuvumiliana na kwa ungwana!

Tujifunze kutokukubaliana kwa kuheshimiana. Shambulia hoja ya mtu, sio utu na heshima yake mkuu.

Hapa tunajifunza wote na kupanuana mawazo mheshimiwa! Matusi ni dalili ya hasira, chuki na kushindwa hoja.
 
Wakati Nyerere anaondoka mwaka 1985 ulikuwa wapi na ulikuwa na umri gani?
Kwa tàarifa yako Nyerere aliondoka kwa kuwa nchi ilifirisika.
Ilifirisika mikononi mwake kutokana na sera zake.
Viwanda vilikuwa magofu, havikuwa na uwezo wa kuzalisha Mali, maana ni kama vilikufa.
Havikuwa na uwezo wa kununua maligafi, havikuwa na uwezo kufanya ukarabati wa majengo na mitambo. Viwanda na bàdhi ya mashirika ya uma kama RTC, BHESCO, AISCO, DARTEX, HOSCO, RETCo nk, havikuwa na uwezo hata wa kulipa mishahara wafanyakazi wake.
Suluhu ilikuwa kuviuza, wafanyabiashara wazalishe ili serikali ikusanye kodi.
Haya yalikuwa ni moja ya mashariti ya Benki ya Dunia na shirika la fedha ulimwenguni.
Ungekuwepo wakati huo usingeropoka upuuzi huu.
👍👏🎁
 
Ngonjera zisizo na msaada wowote. Ni kutafuta sifa za kijinga.

Chukua hatua, tatua tatizo, ndiyo uje uwaambie wananchi ulichokutana nacho, na jinsi ulivyofanya kuhakikisha unatatua tatizo. Zaidi ya hapo, ni hadithi za siku zote zisizo na tija yoyote.

Imekuwa nchi ya viongozi kuimba tu badala ya kutenda.
 
Mkuu mwenzio kakujibu vizuri, hajakutukana, kwa nini umtukane vibaya hivyo?

Mkuu tujadiliane kama watu wazima wenye uelewa wa mambo, kwa staha, kuvumiliana na kwa ungwana!

Tujifunze kutokukubaliana kwa kuheshimiana. Shambulia hoja ya mtu, sio utu na heshima yake mkuu.

Hapa tunajifunza wote na kupanuana mawazo mheshimiwa! Matusi ni dalili ya hasira, chuki na kushindwa hoja.
Wapi nimetukana
 
Kumbe unajua kuwa wanawake wakiwa viongozi awana akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu tunataka waisiharamu wote mliousika na kifo cha shujaa .. mtukufu magufuli mchapwe risasi X akiwemo na huyo raia feki jambazi rostam
Shujaa limekufa kwa ufala wake,lilidhani sifa kushindana 'na kovid
 
Wagalatia wenzio kina mkapa ndio wameuza viwanda kkenge ww
Kuhuza viwanda siyo tatizo waliuza hadi nyumba ila waliuzia watanzania huyu mpumbavu wenu anauzia nchi muarabu tena kwa malipo ya PHD za kuchambia ...wanamsahinia PHD YEYE ANAWA SAHINIA KUWAPA NCHI
 
Waisiharamu mnatesa hata waislamu wenzenu kiongozi wabovu wote tz ni waislamu wanauza madawa ya kulevya japo mungu kawajaria vyeo vikubwa ....wewe cheki mzee wa msoga ana shida gani hadi anashiriki biashara za madawa ya kulevya mcheki rostam ni tajiri ila JANGIRI MCHEK8 KINANA PIA huo ndiyo ukweli waisiharamu hamfai kuongoza chochote nchini nimemuuliza faiza ni kipi kimoja tu anitajie ambacho marais waisiharamu wamefanya cha maana kwenye hii nchi kashindwa kutaja
Mkuu dini na hoja hii wapi na wapi?? Jadili hoja, imani ya mtu inaingia je hapa?

Haya mkuu ukiambiwa ulete ushahidi wa biashara ya madawa wa ndugu Kikwete, ujangili wa ndugu Rostam na usiharamu wa Kinana utaleta?
 
Mkuu dini na hoja hii wapi na wapi?? Jadili hoja, imani ya mtu inaingia je hapa?

Haya mkuu ukiambiwa ulete ushahidi wa biashara ya madawa wa ndugu Kikwete, ujangili wa ndugu Rostam na usiharamu wa Kinana utaleta?
Kawaulize mafisadi na mabeberu ya kinasara kwanini walisema bora tz kuwe na rais muisiharamu kuliko mkristo ...jibu utapata kwao
 
Kuhuza viwanda siyo tatizo waliuza hadi nyumba ila waliuzia watanzania huyu mpumbavu wenu anauzia nchi muarabu tena kwa malipo ya PHD za kuchambia ...wanamsahinia PHD YEYE ANAWA SAHINIA KUWAPA NCHI
Ulitaka rais auze hiyo mittako yako??
 
Kawaulize mafisadi na mabeberu ya kinasara kwanini walisema bora tz kuwe na rais muisiharamu kuliko mkristo ...jibu utapata kwao
Ww ffala una chuki 'na viongozi na matajiri waislamu,'na teki ndio wanawapandikiza chuki wapuuzi nyie,
 
Back
Top Bottom