Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

Nilikuwepo, viwanda vingi nyerere slivikuta vya watu binafsi akavitaifisha.

Alivyojenga yeye wakati wake wote havifiki 30.

Vyote vilikufa, vyake na alivyotaifisha, kabla hajaondoka madarakani.

Msidanganyane bado tupo hai.
Taja viwanda ambavyo Nyerere alitaifisha. Watu kazi yenu kupindisha historia. Viwanda vyote vya nguo Tanzania vilijengwa wakati wa Nyerere. MUTEX kilikuwa kiwanda kikubwa Africa Mashariki.

Viwanda vya maziwa vilikuwa sehemu zote walikokuwa na ngómbe kwa wingi. Viwanda vya viatu iliitwa Bora. Kiwanda cha betri, Viwanda vya mafuta ya kula vilikuwa karibu mikoa mingi. Viwanda vya ngozi, Viwanda vya nyuzi, viwanda vya usindikaji, na kiwanda cha General cha matairi. Na vingi vinginevyo hivi vyo vilijengwa kwa fedha ya serikali.

Nyerere aliviacha vikiwa vinafanya kazi. Kwa taarifa yako wengine tumeonja matamu ya wakati huo ya Nyerere.
Nakumbuka ulikuwa unaenda Bora kununua viatu. Ukiingia unaletewa kifaa cha kuweka mguu kutambua size yako kisha unaletewa viatu vikiwa katika boksi yake. Yaani ilikuwa kama Ulaya ilivyo.

Kulikuwa na maduka ya serikali kila mkoa na wilaya RTC yaliuza bidhaa kwa bei nafuu. Nyerere aliacha yakifanya kazi. Yote yakauwawa na awamu zilizofuata. Ethiopia hayo maduka bado yapo. Ulaya kuna baadhi ya maduka bado yanamilikiwa na serikali hadi leo.

Wakati wa Nyerere tulisoma bure na kupewa madaftari na kalamu shuleni. Wanafunzi wa sekondari na vyuo walisafirishwa bure na serikali.

Kila mkoa katika miji kulikuwa na park, tuliita bustani. Yaani ilikuwa kama ilivyo Ulaya. Siku hizi mnajenga ovyo kila mahala hakuna hata park. Kulikuwa na hotel za kitalii kila mkoa zimejengwa na serikali. Hata club za serikali. Hizi Ethiopia bado wanazo. Nyerere aliziacha.

Wakati wa Nyerere kulikuwa na bank zinamilikiwa na serikali. Akaziacha. Mkabinafusisha na kuuza zote zingine mkauwa. Alipopiga kelele NBC isiuzwe duuh! Ndo ikawa niagieni. Nchi nyingi kubwa serikali ina bank hata hapa Afrika tu.

Kulikuwa na mabasi ya kila mkoa. Yalimilikiwa na serikali za mkoa. Yote mmeuwa. Niishie hapa ni mengi. Harafu unakuja hapa kuonesha Nyerere ati alitaifisha na kushindwa kuendeleza. Tusidanganyane.

Leo tu serikali inashindwa hata kuendeleza miradi ya mwendo kasi magari yanakufa. Yaani Tanzania ni shida tu.
Tanzania ya Nyerere ilikuwa na utamu wake kwa wale waliokuwepo wakati huo tulienjoy. Hakukuwepo na ufisadi uliokithiri kama leo.
 
Haya matamko ya kwenye vyombo vya habari hayaleti suluhu cause kesho wewe umetumbuliwa tatizo linabaki hapo nenda kimya kimya ufanye suluhisho sio tatizo ushalijua unaimba tu!
Sisi tunataka matokeo na siyo hizo tantalila zao,tatizo la umeme lina zaidi ya miaka 30 na kila anayesimama anatuambia sasa tumepata muarobaini shida ya umeme itakuwa historia katika nchi hii. Upuuzi mtupu tunadanganywa kama vifaranga vya kuku.
 
Huyu nae hamna kitu, juzi tu amemuondoa DG wa TANESCO na akavunja bodi ya shirika leo anakuja na mboyoyo tena? Hawa watu bana.
 

Attachments

  • 20231018_175203.jpg
    20231018_175203.jpg
    9.6 KB · Views: 1
Miaka miwili mtambo haufanyi kazi ajabu utakuta supplier wa gas analipwa kama kawaida...
 
Ndio mumuelewe JPM, Hii nchi tatizo kubwa lipo ndani ya CCM. Mnafikiri anayosema Biteko mfumo haujui? Yule mwendawazimu ndio alijua kudeal nao mkasema anachukia matajiri.
 
Kipara alikuwa anafanya service ipi sasa?
Miaka 2 ya porojo ngonjera na publicity vyombo vya habari kila kona kuisifia tanesco.

Februari na maharage wamekaa pale miaka 2 hakuna walichokifanya zaidi ya kupiga hela.

Walisema tanesco mitambo haikufanyiwa matengenezo miaka 5, wao wapewe muda watengeneze, miaka 2 hakuna walichofanya.

Ajabu wale jamaa bado ni watumishi wa umma.
 
Utadhania Yuko serious!??

Useless...
 
TATIZO NI ROSTAM AZIZI HUYU ASIPO ULIWA KAMWE HII NCHI HATUWEZI TOBOA...NILAZIMA TUTESEKE ....GENGE LA WAMILIKI WA GESI NDIYO WANAO KWAMISHA HII NCHI
Anakwamishaje mkuu
 
Sasa sio kutangazia watu hii mikwala. Tunataka tu kusikia nani kawajibishwa na mashine ifanye kazi. Sio kutangaza haya mambo alafu wahusika wanadunda tu. Wasifanye siasa na umeme
Hawa watu wana siasa za kijinga sana
 
Uhuni huu.
Makamba alisema wameizima mitambo ili kuifanyia service kwamba mwendazake aliiendesha kibabe bila kuifanyia service. Akaenda mbali zaidi akaingia mkataba na wahindi kununua sijui vinini ili ku track short za umeme kwa bilioni 60.
Baada ya service na hivyo vidude matokeo ndio haya umeme hakuna.
Kazi iendelee!
 
Nyerere aliviacha vikiwa vinafanya kazi. Kwa taarifa yako wengine tumeonja matamu ya wakati huo ya Nyerere.
Uongo mwingine wa kitoto sana! Yaani viwanda vilikuwa vikifanya kazi wakati hata bidhaa nchini ilikuwa hamna?!
 
Kazi ya waislamu ni kuharibu nchi hii.

January Makamba umelifanyia uhuni taifa hili
 
Kumbe shida yako ni dini ya rais aliye madarakani.
Unuruka ruka viwanda, umeme nk kumbe udini tu ndiyo unaokutesa.
Waislam wapo, wataendelea kuwepo na watatawala kama kawaida.
Wewe utaorodhesha yote, lakini watatawala.
Kama Nyerere alimuachia nchi Muislam, wewe ni nani?
Waisiharamu mnatesa hata waislamu wenzenu kiongozi wabovu wote tz ni waislamu wanauza madawa ya kulevya japo mungu kawajaria vyeo vikubwa ....wewe cheki mzee wa msoga ana shida gani hadi anashiriki biashara za madawa ya kulevya mcheki rostam ni tajiri ila JANGIRI MCHEK8 KINANA PIA huo ndiyo ukweli waisiharamu hamfai kuongoza chochote nchini nimemuuliza faiza ni kipi kimoja tu anitajie ambacho marais waisiharamu wamefanya cha maana kwenye hii nchi kashindwa kutaja
 
Back
Top Bottom