Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

Pia hoja yako ni taifa gesi nikakuambia vitalu pia anamiliki na ndiyo gesi inayotumika kuzalisha umeme
Swali Rostam Kumiliki vitalu vya gas inazuia nini Tanesco kupata umeme? Wapi Tanesco waliowahi kusema shida ni upatikanaji mdogo wa gas?
 
Unajisemea bila kuelewa ulichosema, vimefika vingapi hivyo viwanda vya nyerere?
 
Unauhakika unacho kinena?
 
Tafuta hotuba yake alisema hadharani hiyo kauli ni kwenye zile hotuba alizo toa na alipo taja jina la jpm watu walishangilia wengine walichukia sikumbuki vizuri ila nakumbuka kama alikuwa kwenye bwawa la umeme. Wakati wa jpm rostam alikuwa ni tumbili tu mbele ya magufuli kuweza kudhubutu kukwamisha bwawa wazi wazi alikuwa anatumia jumuiya za kimataifa kudai ni uchafuzi ma mazingira nyuma yake alikuwa huyo jambazi azizi hata samia anajua vizuri ila kaamua kuwa upande wa wahuni
 
IMEJAZANA MIGALATIA TUH HAPO,HAKUNA CHA MAANA WANAFANYA ZAIDI YA KUIBA NA KUPELEKA PESA KUTOA FUNGU LA KUMI.WASOMI WA MFUMO KRISTO NI DISGRACE TO THIS NATION
 
Tatizo siyo Roast Aziza,tatizo ni wenye mamlaka.
 
Uk
Ukiniambia kuwa Roast ndiye mchora ramani huku K Lyin akaisoma vyema mpaka kufanikisha anguko la Mengi hapo nitakubariana na wewe,ila hili la gas tatizo kubwa ni wenye mamlaka kukubali kuwekwa mfukoni na Roast.
 
Nyerere kaondoka kaacha pesa yetu ikiwa na thamani kubwa yule mpumbavu aliye kuja akaua thamani hadi pesa yetu imekuwa pesa ya madafu
Nyerere aliacha dola moja ni tshs tano, leo ni tshs 2500, bado kuna jinga linamlaumu nyerere hata wakati wa nyerere lilikuwa halijazaliwa
 
Tatizo siyo Roast Aziza,tatizo ni wenye mamlaka.
Umjui huyo Rostam azizi kapandikiza watu wake kwenye mamlaka kiasi gani kuanzia kwenye siasa anao wabunge wake kabisa na pesa anawapa ....kumbuka kipindi cha JPM mange kimambi alikuwa anamtukana sana jpm ndipo Rostam azizi kwa kujipendekeza alimwambia Rais Jpm kuwa kuanzia leo mange kimabi hato kutukana tena na kweli mange alinyamaza kimya...huyo jamaa ni jambazi haswa anatumia fedha kufanikisha ufisadi mkubwa sana ....sijui kama unajua kitu kinacho itwa (state capture)
 
Acha blaa blaa zisizo na msingi washa umeme
 
Nyerere aliacha dola moja ni tshs tano, leo ni tshs 2500, bado kuna jinga linamlaumu nyerere hata wakati wa nyerere lilikuwa halijazaliwa
Wakati ule pesa yetu ilikuwa na nguvu kama kenya au zaidi ... tena nyerere alitengwa na mabeberu kutokana na kumpiga vita kaburu wa mozambiki na south africa pia alipigwa vita na mabeberu kutokana na siasa za kijamaa...licha ya hayo yote aliweza kufanya pesa iwe na dhamani licha ya kutokuwa na biashara ya utalii wala gesi
 
Acha blaa blaa zisizo na msingi washa umeme
TAFUTA HOTUBA YA SAMIA ALIPO FUNGUA UJAZAJI MAJI BWAWA LA NYERERE ALIPO SEMA WAZI KUWA AMEKUTANA NA MISUKOSUKO YA WANAOPINGA KUJENGWA KWA BWAWA ...SASA TUAMBIA NI KINA NANI MBONA HAKUWATAJA
 
TAFUTA HOTUBA YA SAMIA ALIPO FUNGUA UJAZAJI MAJI BWAWA LA NYERERE ALIPO SEMA WAZI KUWA AMEKUTANA NA MISUKOSUKO YA WANAOPINGA KUJENGWA KWA BWAWA ...SASA TUAMBIA NI KINA NANI MBONA HAKUWATAJA
Magufuli aliwahi wataja Mabeberu wanaomiliki Gesi Aliposema sio Gesi yetu imekuwa?
 
Magufuli aliwahi wataja Mabeberu wanaomiliki Gesi Aliposema sio Gesi yetu imekuwa?
Kwani huyo ROSTAM AZIZI NI MTANZANIA HUYO NI BEBERU TUMIA AKILI ..ZUNGU PIA NI BEBERU NI RAIA FEKI WAPO KUFISIDI NCHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…