issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
hapa natype hi reply nipo gizaniHivi mgao ni dare es salaam pekee Ina maana sisi.wa mkoani huu mgao hawhesabu kama mgao!!?
Jana usiku Tabora haikua nanumeme usiku kucha hasa igunga na uyui!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa natype hi reply nipo gizaniHivi mgao ni dare es salaam pekee Ina maana sisi.wa mkoani huu mgao hawhesabu kama mgao!!?
Jana usiku Tabora haikua nanumeme usiku kucha hasa igunga na uyui!!
Hivi mgao ni dare es salaam pekee Ina maana sisi.wa mkoani huu mgao hawhesabu kama mgao!!?
Jana usiku Tabora haikua nanumeme usiku kucha hasa igunga na uyui!!
epuka nguvu za giza🐒Muda huu nipo gizani. wamekata umeme.
Jana tu umeme ulikatika Siku nzima uku nilipo au me naishi dar ya chato nn
Unaishi Dar ya LushotoJana tu umeme ulikatika Siku nzima uku nilipo au me naishi dar ya chato nn
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa changamoto ya Umeme ipo mwishoni kwani kuanzia Februari 22, mgao haujatokea kwa mkoa wa Dar es Salaam kwani Serikali ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha mradi wa Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere.
PIA SOMA
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
Maharage ya siku hizi Wala hayachukui muda kuiva mkuu. Au bado una mtazamo wa Yale maharage ya zamani?Punguzeni bei tuwe tunapikia maharage
All this is rubbish, time will tell!Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa changamoto ya Umeme ipo mwishoni kwani kuanzia Februari 22, mgao haujatokea kwa mkoa wa Dar es Salaam kwani Serikali ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha mradi wa Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere.
PIA SOMA
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa