Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.
Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.
Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].
Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.
Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.
Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.
View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-
Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.
Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].
Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.
Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.
Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.
View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-