Black Rob naye afariki dunia

Black Rob naye afariki dunia

Hahahaaa wote tupo chijijini huyo era ya kina Aaliyah,Brandy,Monica,Queen Latifah,Mc Lyte,Missy Elliot 90s-2000.
Hivi Monica na brandy walishaolewa? Bado wapo kwenye gemu?,
The boy is mine iliwatoa sana
 
Hahahaaa wote tupo chijijini huyo era ya kina Aaliyah,Brandy,Monica,Queen Latifah,Mc Lyte,Missy Elliot 90s-2000.
Mimi mpaka leo nina playlist moja matata sana ina nyimbo nyingi kali za 90's za kina busta rhymes, timbaland, fugees, mob deep, big pun, fat joe, ludacris, ja rule, dmx, dre, snoop, xhibit, Nas.... dah.. huwezi amini hawa jamaa wengi walivuma kati ya 1990 - 1995 huko.
 
Mimi mpaka leo nina playlist moja matata sana ina nyimbo nyingi kali za 90's za kina busta rhymes, timbaland, fugees, mob deep, big pun, fat joe, ludacris, ja rule, dmx, dre, snoop, xhibit, Nas.... dah.. huwezi amini hawa jamaa wengi walivuma kati ya 1990 - 1995 huko.

Yes 90s-2000 walivuma sana hao.
 
Mimi mpaka leo nina playlist moja matata sana ina nyimbo nyingi kali za 90's za kina busta rhymes, timbaland, fugees, mob deep, big pun, fat joe, ludacris, ja rule, dmx, dre, snoop, xhibit, Nas.... dah.. huwezi amini hawa jamaa wengi walivuma kati ya 1990 - 1995 huko.
Mob deep-shook ones
Moja ya goma ilitamba na itaendelea kutamba,mtu yoyote ambaye ni hiphop head
Hilo goma lazima alirequest

Ova
 
Jamaa alifilisika Sana hadi anafariki alikuwa homeless person
Ila P diddy sio mtu mzuri kwa utajiri alionao alitakiwa amsaidie jamaa manake aliinua Sana label ya bad boys
Haya mambo usihukumu bila kujua habari, kuna watu wengine hawataki kusaidiwa.Kuna wengine ni wahanga wa madawa wanasaidiwa sana wanarudi mtaani.

Sisemi kwamba ilikuwa hivyo, ila kabla ya kumlaumu P Diddy inabidi ujiridhishe kwamba lawama ziko upande gani.

May all beings attain enlightenment.
 
P didy analalamikiwa kuwa na mikataba mibovu,vijana wenye njaa husaini bila kusoma vizuri,mfano Mase,Craig Mark,112 ambao walitaka kubadili jina ili wawe huru Diddy akawaambia walipe brand ya jina tokea walipoanza,jamaa wakaghairisha [emoji134]huyu jamaa huyuu
Mase sasahivi ni Pastor, kiongozi kabisa wa kanisa kubwa tu
 
I hit to the scene in '95 like WHOA!
Broke like a motherf**kin' dog like WHOA!
Robbin' niggaz cribs in Mid-Town like WHOA!

A bunch of white hoes following like WHOA!
They pulling my pants down, sh*t, I'm like WHOA!
They giving me h3ad now, we all like WHOA!
She swallowed the whole d!ck, I'm like WHOA!

come through in X5 like WHOA!!

My nikka like dough nice clothes.

We gon' keep it going
We gon' give you a little taste of the WHOA!
young guns,Bad Boy baby
We won't stop cuz we can't stop!

King Kong III like WHOA
Bushmamy Like WHOA
Wangari Maathai Like WHOA.

View attachment 1756947
Lil' Ceaser
 
Back
Top Bottom