Blacks

KWAMBA LINAH NA YEYE AMEAFIKI WANAUME WEUPE HAMNA KITU?
 
Mkuu na vipi kuhusu waafrika wenzetu hawa wa Tunisia,Maroc,Lybia n.k..wao wakienda ulaya huitwaje?
 
Wanawake usipowaelewa utapata tabu sana.

Huyo aliyeponda wanaume weupe(kwa mtazamo wa kitanzania weupe ule wa JK) unaweza kukuta ameshatongoza wanaume weupe wengi mno na wamemkataa tena kwa nyodo.

Hapo anajifariji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…