princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
Wasalaam wadau poleni na mfungo kwa wale ndugu zangu waislam chungu cha ngapi Leo??anyway acha niende moja kwa moja kwenye nia,Kuna kipindi kipya Pale usafini FM redio kinaanza Saa mbili usiku sijui hadi saa ngapi!?Kikiongozwa na Jonijoo Babaako akiwa na Calypso,Aaliyah na Mtu imara,bila kuwasahau ma'Djs wao DJ Vasley na DJ Jaco,,kipindi kipo fresh ila sidhani kama Mtu imara anastahili kuwa pale coz haendani na wenzake(No chemistry) pia ni mkimya sana sometimes audience wanatuma comment wakiuliza mbona yeye haongei?alaf jambo lingine Nafikiri kingewekwa mchana kipambane na XXL,Planet Bongo,Show Time New chapter,ingekua poa sana,,,Hizo ni kasoro nilizoziona kuhusu iki kipindi cha Block89 Wasafi FM,,Lakini niwapongeze wameleta utofauti wa kuruka Live YouTube mwanzo mwisho....Yangu hayo ariff.
@ChaliiYaKijengeJuu.
@ChaliiYaKijengeJuu.