kandukamo1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 1,058
- 689
Karibu jamvini mpwa warumi.Hiko ki jestina ndo maana hakinenepi, bora walivyompa kichapo, ila nyie watu wabaya, sasa wembamba ule sijui watakuwa wamempigia wapi, kwel watu wamepinda aiseh
Kuna watu wamekuwa maarufu insta ila hawaeleweki
Mmh huu ushabiki wa team utakuja kumcost mtu maisha, kama sio kuleta maafa makubwa.
Hiko ki jestina ndo maana hakinenepi, bora walivyompa kichapo, ila nyie watu wabaya, sasa wembamba ule sijui watakuwa wamempigia wapi, kwel watu wamepinda aiseh
Sa na wenyewe kwanini walikua wanamdiscuss mwenzao???
Mazungumzo yao sasa.... Jestina nimempa pole ya kipigo we kaniblokia mbali kule.. kile kipigo kapewa kwa mengi maana watu walikua washampangia Diaspora Blog
Hiko ki jestina ndo maana hakinenepi, bora walivyompa kichapo, ila nyie watu wabaya, sasa wembamba ule sijui watakuwa wamempigia wapi, kwel watu wamepinda aiseh
hahaha kakublock kisa umetoa pole mmmnh walikuwa wamempania muda sana na ile clip ikawa sababu
pole sana Jestina
Mhh kufuatilia udaku kazi, unahitaji degree.
Nadhani peke yangu ndo sijaelewa.
Haupo mwenywe,
.Yule Betina wa UK alieeolewa mke wa 3 amekula kipondo cha maana juzi baada ya kugundulika kuwayeye ndo aliewa rekodi kina Kajala wakimsema Wema na kisha kumrushia Dougiemasta14 hiyo clip.
Sasa unaambiwa watoto wa uswazi walikuwa wanamfatilia sana toka aje bongo. huku na kule wakamvizia akiwa bila mama Diamond( Anajifanya Halima Kimwana na yeye kuwafwata fwata familia ya Diamond)Mnafki mkubwa , si anajifanya ana blog ya kuweka nyuuz aweke na hii .
Chezea watoto wa mbwa wewe, Kajala shoga zake ni masela wa Kinondoni aalafu analeta umaku.Ilimhusu nini kuwarekodi kina Kajala? kama sio uchonganishi? Kama kujipendekeza kwa Wema ndo mpaka amrekodi kajala?
Ndo maana hanenepi kwa unafiki.Na bado mpaka tukuvunje kiuno mwaka huu. Kila ukija bongo utakuwa unapokea kipondo[/
Hahaaa kaniblock mbali sana.... kasema tu ipo siku ukweli utajulikana nikablokiwa[/