Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Mi nimeweka kwenye subwoofer radio inapiga kelele kama honi ya gari. Shida itakuwa nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa hajafa, ningekuwa naenda beach kidibwi kumtafuta. Nikimuona tu namuita konda msafiInapendeza
Cc KHUMBU
Sasa kama Radio yangu haina tundu la kupachika hicho kidude utafanyaje?Kama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa.
Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio zinapiga sana lakini kama ulinunua kitambo utakuwa unamiss flash na Bluetooth.
Subwoofer za zamani zote.
Seapiano,Rissing n.k njoo upate huu mzigo
Bei ni 15000 tu,na zipo chache sana
0685008131
Usijali hakuna kinachoshindikana,hata kwa picha juu sio kwamba hiyo radio ina tundu bali imedizainiwa vizuri tu inakuwa kama imekuja nacho.Sasa kama Radio yangu haina tundu la kupachika hicho kidude utafanyaje?
Dar kubwa mjuba....sema exactly location!D
Dar boss
Shomile bado upo California?mare
marekani mna tuma kwani
Ilala Mchikichini nduguDar kubwa mjuba....sema exactly location!
[emoji16][emoji51]🙄 Hivyo vya kuokota,vinasumbua sana. Vina mwangwi,radio inapiga kelele kama ndege inataka kupaa
Mko vizuriUsijali hakuna kinachoshindikana,hata kwa picha juu sio kwamba hiyo radio ina tundu bali imedizainiwa vizuri tu inakuwa kama imekuja nacho.
Vinayo kaka angalia hapo button ya kijani kuliaHivi vidude huwa vina equalizer yake upande wa Mp3 tofauti na ya Radio?
Sijui kama nimeeleweka.
Inapendeza
Cc KHUMBU
Kama ni chache kwa nini uangaike kuzitangazaKama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa.
Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio zinapiga sana lakini kama ulinunua kitambo utakuwa unamiss flash na Bluetooth.
Subwoofer za zamani zote.
Seapiano,Rissing n.k njoo upate huu mzigo
Bei ni 15000 tu,na zipo chache sana
0685008131
Safi sanaVinayo kaka angalia hapo button ya kijani kuliaView attachment 1715606
Ww toka unakuwa kwani huijui Pepsi au Coca-Cola? Kampuni kongwe kabisa kila mtu anazijua. Kwanini wanatumia pesa nyingi kwenye matangazo? Kwanini wanajitangaza?Kama ni chache kwa nini uangaike kuzitangaza
Wanafanya hivyo ili uendelee kuwasikia kuwa wapo na wala hawawez sema soda zimebaki chacheWw toka unakuwa kwani huijui Pepsi au Coca-Cola? Kampuni kongwe kabisa kila mtu anazijua. Kwanini wanatumia pesa nyingi kwenye matangazo? Kwanini wanajitangaza?