Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
- Thread starter
- #41
Kwann wanajitangaza?Wanafanya hivyo ili uendelee kuwasikia kuwa wapo na wala hawawez sema soda zimebaki chache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann wanajitangaza?Wanafanya hivyo ili uendelee kuwasikia kuwa wapo na wala hawawez sema soda zimebaki chache
Hata kidogoVipi mkuu kuhusu kuunganisha haisumbui Sana?
Unaitaka?
Hiyo uliyotuma ni 50k na hizi ndogo ni 15k tu
Display lyrics phase remote ya kawaida,yani imekamilika50000?
Ina nini chaziada zaid ya hiyo yakawaida?
Na mp5 bei ni hiyohiyo?Kama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa.
Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio zinapiga sana lakini kama ulinunua kitambo utakuwa unamiss flash na Bluetooth.
Subwoofer za zamani zote.
Seapiano,Rissing n.k njoo upate huu mzigo
Bei ni 15000 tu,na zipo chache sana
0685008131
Ndio
Nipe sample
Lete ambazo zina play mp3 na mp4 nitachukuaKama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa.
Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio zinapiga sana lakini kama ulinunua kitambo utakuwa unamiss flash na Bluetooth.
Subwoofer za zamani zote.
Seapiano,Rissing n.k njoo upate huu mzigo
Bei ni 15000 tu,na zipo chache sana
0685008131
Mp4 ukitaka nakuagizia tu zimeishaLete ambazo zina play mp3 na mp4 nitachukua
Nahitaji nyingi na mm niuze agiza ukiwa nazo nambie ntakuja kuchukua mkononi ila niwe na uhakika zinafanya kazi.Mp4 ukitaka nakuagizia tu zimeisha
Nahitaji nyingi na mm niuze agiza ukiwa nazo nambie ntakuja kuchukua mkononi ila niwe na uhakika zinafanya kazi.
MP4 nataka