Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
How do you know?
Through common sense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How do you know?
Hapo chini ni bandiko lako na nilidhani umeconnect issue hizo mbili kutokana na kiunganishi "tena"
Hata wanafizikia wana "The Second Law of Thermodynamics" inayokataza efficiency ya 100%
Tena wana Heinzerbergs Uncertainty Principle inayosema kwamba huwezi kujua position na momentum ya particles 100% kwa wakati mmoja.
I will try,
Uncertainity principle a Heisenberg inatumika in different was kama ku estimate momentum,energy na time in relation to each other,kwamba huwezi kujuwa speen na location ya object all at once,3rd law of thermodynamics inasema it is impossible to reach the absolute zero of temperature in a finite number of steps na the reason ni uncertainity principle kwasababu absolute temperature ni temperature of zero motion,kwa maana hiyo tunaweza kuona microscopic objects exactly where they at and how fast they're moving,That violates the principle of uncertainity,nimekuelezea kwenye posting iliyopita ujaelewa nini?na nimekupa mfano wa microscopic objects,kama vile electrons,wakati wa kuimeasure object kama electron ambayo huwa inabebwa na mawimbi ya mwanga na hivyo kuescape from the atom,yani process ya kujaribu kuimesure atom tayari inakuwa imesha ioff set na wakati unaiobserve inakuwa tayari nje ya atom,just like quantum mechanics says they should
Kwenye objects ambazo ni macroscopic light haina affect kwasababu ni swa na mbu kujaribu kumsukuma tembo.
Ukweli ni kuwa sio sahihi 100%. Usahihi ni lengo lake kuu. Utata ni adui yake mkuu.
Hiyo tena ina transition kati ya sababu mbili tofauti, haimaanishi kwamba sababu mbili hizi zinaungana.
Nikikwambia, nilivaa shati jekundu, tena nikaenda mpirani, haimaanishi kwamba kwenda mpirani kumetokana au kuna uhusiano na shati jekundu. nimekwambia tu kwamba nimevaa shati jekundu na tena nikaenda mpirani.
Nimewafuatilia seriously kina Galileo, Copernicus,Maxwell, Newton Heisenberg, Pauli, Bohr, Einstein, Rutherford, Hawkings, Green, Penrose etc since at least 1990.
Kukuuliza ujieleze haina maana kwamba sifahamu, nilitaka kuona unavyoelezea.
A more legitimate and comprehensive case could have been made by using the concept of entropy in place of Heisenberg's uncertainty principle.
Do you trust the preciseness of Miafrika Ndivyo Ilivyo's common sense?
'most' and 'some' are not precise enough
Ndiyo maana nikakwambia hiyo iko in relation to quantum phyisics,na sio clasicall,concept ya entropy iko applied kwenye efficiency of carnot engine,na Heisenberg uncertainity principle ni kwa quantum mechanics,concept ya uncertainity iko applied in both classical and quantum pyhsics.
Bajeti ya mkopo inatakiwa kufanywa kabla hujachukua mkopo. Unajua utachukua mkopo kiasi gani, riba itakuwa kiasi gani, utaulipa kwa muda gani, funds za kulipa utazipata wapi.Then unachukua mkopo. Huko mbele ukija kulipa unalipa tu kwa sababu budgeting ilishafanyika kabla.
Huwezi kuchukua mkopo bila ku budget kwanza, au ndiyo tunavyofanya bongo then tunashangaa tuna servicing fees za ajabu?
a grey area is a fodder for corruption, it thrives in imprecise societies
Zakumi precision is an important concept in forecasting. Umewahi kufanya Time Series Analysis? Unajua umuhimu wa zile e zinazoji-cancel in the long run? Wewe na Julius mnapenda ligi ila deep down in your heart you know that precision matters - huwezi kupanga kufanya vitu kwa 100% alafu margin of error yako iwe 50%!
BluRay:
Hili topiki ya madeni na bajeti ni nzuri na sina utaalamu nayo. Lakini tunaweza kuongea kwa kuelimishana.
Kwa kawaida unapokwenda kukopa unachatakiwa ni kumshawishi anayekopesha kuwa unayo potential or ability to pay back the money. Na unapokuwa huna potential or ability basi angalau uwe na dhamana.
Hivyo kama unafanya bajeti kabla ya mkopo, nia ni kupata estimations tu na sio jinsi unakavyolipa.
Kuhusu watanzania kuwa na servicing fees za ajabu, hapo ni suala jingine. Kwanza potential zetu ni unrealiable. Pili, hatuna wataalamu katika mambo ya finance. Tatu tunashindwa kutofautisha mikopo na zawadi.
Nne na ambacho ni muhimu sana, mikopo hipo kwenye debt-based financial system. Watanzania wengi wamezoea cash-based financial system. Mtanzania akipa mkopo anasahau kuwa amepata minus katika account yake. Atatumia mkopo kama vile ni cash money.
a grey area is a fodder for corruption, it thrives in imprecise societies
Name three precise societies
there u go again in praise of mizungu societies
1. By definition all budgets are estimates kwa hiyo hapo nilipo bold hapa make sense.
Huko kwingine tunaweza kuandika PhD thesis.
You made mention of imprecise societies
I asked you to name three precise societies. My logic here was that if there are imprecise societies, then there must also be precise socities.
Nowhere did I praise let alone mention mizungu in what I wrote. Now can you name three of each (precise and imprecise societies)?
I anticipated your response to my answer to your question so I pick a leaf from you: 'Sitaki'!