Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

Hahahaha,

Mazee nimegusa nerve nini? Vipi kama wenye inferiority complex wana inferiority complex ya kuona wanaosema kuhusu inferiority complex wanawasema wao hata kama sivyo?

I hardly had you in mind my dude.

Tell the kid to grab a book or something for the next ten years maybe he can grab some basic concepts on Quantum Physics and entropy.

Im rocking with some Marlon Brandon oldies out here, the storm be coming, so a movie weekend is what its gotta be.

Check it out

https://www.jamiiforums.com/sports-...-why-do-rappers-hold-their-guns-sideways.html

Okay, I guess it was just a misunderstanding. Si unajua tena humu saa ingine unaweza ukawa unarushiwa dongo hivi hivi bila hata kujua. So I guess my defense mechanism kicked in...Oh well shit happens. Mi ngoja nianze kuzigaragaza Heinekens hapa. Ijumaa hii leo...
 
Siwezi kubishana na mtu ambaye hawezi kujibu swali rahisi kama which is more fundamental kati ya entropy na uncertainty principle.Swali simple, toa a direct and precise answer, hata kama unataka kutoa maelezo na historia, fine, lakini mwisho wa mchezo unatoa a clear answer, wewe unaacha loophole kama mtu asiyetaka kujicommit clearly, kwa nini?

Unaogopa ukiwa clear Bluray ata murder machete weak arguments zako.

Halafu mimi sijasema kwamba ni expert, hiyo ni infriority complex yako wewe na wenzako timid minds kama wewe tu.
We kweli hamnazo,nani unamfanya kichwa panzi hapa?na arguments zako za ku bounce kama kipepeo for the sake of winning the argument,eti inferiority complex,we yako superior?acha hizo wewe na maneno yako ya ku crame from dictionary,tulikuwa na watu kama nyie wengi tu tulipokuwa high school tena we cha mtoto!Nani amekuita wewe expert kama si wewe mwenye timid mind?
We unadai mimi niwe clear,nani hayuko clear?toa maelezo basi halafu tuone nani ata murder machete arguments za nani....Toa maelezo na uache kuuliza maswali ya kijinga.
 
Jmushi1:

Mbona wote unaotaja ni wazungu tu. Yuko wapi mpemba?

Mpemba ama mweusi ama yeyote yule angekuwa at the right place on the right time with the allowed situations and or enviroments,basi wangeweza kufanya hayo tu,mbona kuna blacks wengi tu wameinvent lots of things kwasababu wako kwenye mazingira yanayoruhusu?

Mbona kuna watu ambao ujuzi wao umepuuziwa na wanau utilize kwenye nchi za kigeni pale wanapothaminiwa?uvumbuzi na science havipewi kipaumbele kwenye jamii tajwa lakini haina maana kwamba hawawezi kuvumbua na kuprogress kwenye science field kama wangekuwa kwenye jamii yenye kuruhusu mazingira kama hayo.

Kwa kifupi jamii ya wapemba na jamii za hao wazungu zilikuwa na bado ziko on a different levels kimaendeleo na hivyo achievements zao kwenye innovation level haziwezi kuwa the same,waafrika walikosa na bado wamekosa viongozi wa kuwawezesha wawe kwenye mazingira yenye kutoa kipaumbele kwenye science,badala yake dini waliyotumia wakoloni kutuganwanya is the same tool wamei adapt viongozi wetu ambao ndio kina Smith wapya.
 
Mpemba ama mweusi ama yeyote yule angekuwa at the right place on the right time with the allowed situations and or enviroments,basi wangeweza kufanya hayo tu,mbona kuna blacks wengi tu wameinvent lots of things kwasababu wako kwenye mazingira yanayoruhusu?

Mbona kuna watu ambao ujuzi wao umepuuziwa na wanau utilize kwenye nchi za kigeni pale wanapothaminiwa?uvumbuzi na science havipewi kipaumbele kwenye jamii tajwa lakini haina maana kwamba hawawezi kuvumbua na kuprogress kwenye science field kama wangekuwa kwenye jamii yenye kuruhusu mazingira kama hayo.

Kwa kifupi jamii ya wapemba na jamii za hao wazungu zilikuwa na bado ziko on a different levels kimaendeleo na hivyo achievements zao kwenye innovation level haziwezi kuwa the same,waafrika walikosa na bado wamekosa viongozi wa kuwawezesha wawe kwenye mazingira yenye kutoa kipaumbele kwenye science,badala yake dini waliyotumia wakoloni kutuganwanya is the same tool wamei adapt viongozi wetu ambao ndio kina Smith wapya.

Nilikuwa nachomekaa tu mkuu. Lakini usiwalaumu sana viongozi wa wafrika kwa sababu ni reflection ya waafrika. Na madongo mnayotupiana hapa, inaonyesha kuwa waafrika hawajawahi kuishi kwenye communities ambazo definition of labour is well defined. Kilichobakia ni show-off ya knowledge.
 
We kweli hamnazo,nani unamfanya kichwa panzi hapa?na arguments zako za ku bounce kama kipepeo for the sake of winning the argument,eti inferiority complex,we yako superior?acha hizo wewe na maneno yako ya ku crame from dictionary,tulikuwa na watu kama nyie wengi tu tulipokuwa high school tena we cha mtoto!Nani amekuita wewe expert kama si wewe mwenye timid mind?
We unadai mimi niwe clear,nani hayuko clear?toa maelezo basi halafu tuone nani ata murder machete arguments za nani....Toa maelezo na uache kuuliza maswali ya kijinga.


Umeshindwa kujibu kati ya entropy na uncertainty principle kipi ni fundamental

Namsikia Robert Byrd anasema "Shame....Shame..."

It's like I'm spitting Amharic
This squabble is barbaric

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=BAwMu8MbQPY[/ame]
 
Umeshindwa kujibu kati ya entropy na uncertainty principle kipi ni fundamental

Namsikia Robert Byrd anasema "Shame....Shame..."

Kila kimoja ni fundamental in its on ways,ni kama two quantities that can work together towards accomplishing something,may be certain observations,nilikueleza kuwa uncertainity principle ilikuja way after entropy,and certainly precisely for microscopic object,ambazo before QM hakuna cha entropy wala nini viliweza kumeasure vitu kama electrons,the end of causality was during uncertainty principle,entropy kwa uncertainity principle ni classicall,na entropy iliingizwa kwenye domain ya Quantum physics ambayo ina contain uncertainity principle,vyote ni fundamental kwenye equation ya quantum mechanics,in which ways are you talking about the fundamentalism?Hakuna sababu zozote za the fundamentalism of one over the other,it is absolutely non sense,naona bora turudi kwenye issue ya preciseness,tuelezee wewe basi precisely kwamba kipi ni fundamental over the other,in which aspects and why....Leta hoja,no shame whatsoever,nimeshakupa jibu,and i will stand with it,sasa zamu yako wewe unayejiita mkongwe na wengine kids.
 
It gets even better, you actually interpret uncertainty principle kama "the end of causality"

Duh,

Hizi crack theories zinazidi tu hapa.
 
It gets even better, you actually interpret uncertainty principle kama "the end of causality"

Duh,

Hizi crack theories zinazidi tu hapa.

Sija inteprete hivyo acha ku cram,unajua maana ya the end of causality and its implications to the whole subject of physics?ama una bwabwaja tu ili uonekane unajuwa?what is classical physics and why there was an end to causality?sasa kama si uncertainity ni nini?Kweli you need to revisit you books mkuu.
Pili usiruke ruke kama kipepeo hujatoa maelezo ni kivipi entropy ni fundamental than uncertainity principle,in what aspects and precissely why?
 
Mpemba ama mweusi ama yeyote yule angekuwa at the right place on the right time with the allowed situations and or enviroments,basi wangeweza kufanya hayo tu,mbona kuna blacks wengi tu wameinvent lots of things kwasababu wako kwenye mazingira yanayoruhusu?

Hayo unayoyaita mazingira yanayoruhusu hayakudondoshwa toka mbinguni. Yalitengenezwa na watu. Sasa kama mijitu haiwezi hata kujitengenezea mazingira bora itaweza kweli kutengeneza chochote cha maana? Hivi unadhani kusoma shule ya msingi chini ya mbuyu kutamfanya mtu awe na ingenuity?

Mbona kuna watu ambao ujuzi wao umepuuziwa na wanau utilize kwenye nchi za kigeni pale wanapothaminiwa?

Unaona sasa ujinga wao? Kwa nini mtu a utilize ujuzi wake kwenye nchi za kigeni wakati nchi aliyotoka ina matatizo kibao yanayohitaji ujuzi wake? Mjinga nani hapo? Miafrika iko mijinga kiasi kwamba haitambui hata thamani ya ujuzi wa watu! Lol..Halafu unajua nini Mangi? Hiyo hiyo Miafrika yenye ujuzi (ambayo haizidi hata 0.0001%) ukiirudisha Afrika kufanya kazi, haifanyi lolote la maana. Sijui kwa nini tu. Saa ingine huwaga nadhani labda Afrika kuna laana.

uvumbuzi na science havipewi kipaumbele kwenye jamii tajwa lakini haina maana kwamba hawawezi kuvumbua na kuprogress kwenye science field kama wangekuwa kwenye jamii yenye kuruhusu mazingira kama hayo.

Havipewi kipaumbele kwa sababu ya ujinga. Ujinga unamfanya mtu asijitambue hata yeye ni nani. Na tukirudi kwenye mazingira, mazingira hutengenezwa na watu. Sasa kama unasema kuna jamii yenye kuruhusu mazingira ya kuvumbua na jamii ingine ambayo haina mazingira kama hayo, jiulize kwa nini moja inayo na ingine haina. Jibu utakalopata litakurudisha kule kule kwenye uwezo. Kama hauwezi hata kujitengenezea mazingira mazuri nini ambacho utaweza?
 
Julius said:
Hayo unayoyaita mazingira yanayoruhusu hayakudondoshwa toka mbinguni. Yalitengenezwa na watu. Sasa kama mijitu haiwezi hata kujitengenezea mazingira bora itaweza kweli kutengeneza chochote cha maana? Hivi unadhani kusoma shule ya msingi chini ya mbuyu kutamfanya mtu awe na ingenuity?
Soma historia vyema ujuwe mazingira hayo yaliyoruhusu ama kutoruhusu maendeleo yalifikiwaje,watu werevu wakishindwa na wajinga haina maana kuwa wale wajinga sasa ndio werevu,chini ya utawala wa slave master na mkoloni vibaraka wa kuyasimamia maendeleo ya wananchi watakuwa werevu?Certainly not,huwezi kumweka kibaraka mwerevu mwenye kuyasimamia maslahi ya wananchi dhidi ya yale ya watwana...

Hatujawahi kuwa na viongozi walioligundua hilo,viongozi walikuwa kama manyapara na bado wako the same,tofauti ni kwamba sasa hivi wanaomba omba zaidi na kujipendekeza kuliwa...Wakatumia loophole ya system mbovu ya kikoloni kwa manufaa yao na bado naamini system ndiyo chanzo cha mazingira mabovu....Wale wote waliokuwa na mawazo a kuwaendeleza wananchi ama wenye kujali maslahi yao na ya Taifa kwa ujumla walifutiliwa mbali..

Ndio maana hata Bob alisema how long shall they kill our prophets while we stand beside and look,na baadhi ambao hawazingatii science ambao kutokana na system mazingira yao na uelewa wao unapelekea wao kusema its part of the book to be fulfilled,really?Bwana wako akikupiga shavu ili mgeuzie na la pili...System ni ile ile na product ya viongozi ni ile ile,wale wenye mawazo ya kimapinduzi waliondolewa na wajinga wenye kuendelea kuwatumikia wazungu in all aspects,its sickening....Kwa hiyo haina maana kuwa waafrika wote ni wajinga kama unavyopenda ionekane,soma historia vizuri na utumie medula oblangata yako,we need REVOLUTION period,na si kulia lia tu "Eti Miafrika ndivyo ilivyo"




Julius said:
Unaona sasa ujinga wao? Kwa nini mtu a utilize ujuzi wake kwenye nchi za kigeni wakati nchi aliyotoka ina matatizo kibao yanayohitaji ujuzi wake? Mjinga nani hapo? Miafrika iko mijinga kiasi kwamba haitambui hata thamani ya ujuzi wa watu! Lol..Halafu unajua nini Mangi? Hiyo hiyo Miafrika yenye ujuzi (ambayo haizidi hata 0.0001%) ukiirudisha Afrika kufanya kazi, haifanyi lolote la maana. Sijui kwa nini tu. Saa ingine huwaga nadhani labda Afrika kuna laana.

Ujinga wao unaonekana ndio werevu kwenye mazingira yaliyopo...No right enviroments,corrupt system etc etc,nini usichojuwa hapo?
Havipewi kipaumbele kwa sababu ya ujinga. Ujinga unamfanya mtu asijitambue hata yeye ni nani. Na tukirudi kwenye mazingira, mazingira hutengenezwa na watu. Sasa kama unasema kuna jamii yenye kuruhusu mazingira ya kuvumbua na jamii ingine ambayo haina mazingira kama hayo, jiulize kwa nini moja inayo na ingine haina. Jibu utakalopata litakurudisha kule kule kwenye uwezo. Kama hauwezi hata kujitengenezea mazingira mazuri nini ambacho utaweza?
Historia kwa ujumla ndiyo imeshape mazingira yaliyopo hilo halikwepeki,sasa inategemea na your point of view,wewe yako ni euro centric na hivyo sishangazwi,ntashangazwa vipi?System ni mbovu na revolution ni a must if we are to get out of the corrupt system,huwezi kuwajumuisha waafrika wote na kusema ni wajinga,labda wewe ndo mjinga.Viongozi wetu wakiwa wajinga haina maana na mimi ni mjinga...Uamuzi wa kwamba waafrika "collectively" ni wajinga,ni uamuzi wako binafsi na wenzako,bado naamini every single person is unique and should be judged by their own unique characteristics.
 
Soma historia vyema ujuwe mazingira hayo yaliyoruhusu ama kutoruhusu maendeleo yalifikiwaje,watu werevu wakishindwa na wajinga haina maana kuwa wale wajinga sasa ndio werevu,chini ya utawala wa slave master na mkoloni vibaraka wa kuyasimamia maendeleo ya wananchi watakuwa werevu?Certainly not,huwezi kumweka kibaraka mwerevu mwenye kuyasimamia maslahi ya wananchi dhidi ya yale ya watwana...

Hatujawahi kuwa na viongozi walioligundua hilo,viongozi walikuwa kama manyapara na bado wako the same,tofauti ni kwamba sasa hivi wanaomba omba zaidi na kujipendekeza kuliwa...Wakatumia loophole ya system mbovu ya kikoloni kwa manufaa yao na bado naamini system ndiyo chanzo cha mazingira mabovu....Wale wote waliokuwa na mawazo a kuwaendeleza wananchi ama wenye kujali maslahi yao na ya Taifa kwa ujumla walifutiliwa mbali..

Ndio maana hata Bob alisema how long shall they kill our prophets while we stand beside and look,na baadhi ambao hawazingatii science ambao kutokana na system mazingira yao na uelewa wao unapelekea wao kusema its part of the book to be fulfilled,really?Bwana wako akikupiga shavu ili mgeuzie na la pili...System ni ile ile na product ya viongozi ni ile ile,wale wenye mawazo ya kimapinduzi waliondolewa na wajinga wenye kuendelea kuwatumikia wazungu in all aspects,its sickening....Kwa hiyo haina maana kuwa waafrika wote ni wajinga kama unavyopenda ionekane,soma historia vizuri na utumie medula oblangata yako,we need REVOLUTION period,na si kulia lia tu "Eti Miafrika ndivyo ilivyo"





Historia kwa ujumla ndiyo imeshape mazingira yaliyopo hilo halikwepeki,sasa inategemea na your point of view,wewe yako ni euro centric na hivyo sishangazwi,ntashangazwa vipi?System ni mbovu na revolution ni a must if we are to get out of the corrupt system,huwezi kuwajumuisha waafrika wote na kusema ni wajinga,labda wewe ndo mjinga.Viongozi wetu wakiwa wajinga haina maana na mimi ni mjinga...Uamuzi wa kwamba waafrika "collectively" ni wajinga,ni uamuzi wako binafsi na wenzako,bado naamini every single person is unique and should be judged by their own unique characteristics.

Jmushi1:

Waafrika collectivelly ni wajinga ni hitimisho langu pia. Wasingekuwa wajinga, hao viongozi ambao uwa wanaleta matatizo ya maendeleo wasingekuwa madarakani.
 
Jmushi1:

Waafrika collectivelly ni wajinga ni hitimisho langu pia. Wasingekuwa wajinga, hao viongozi ambao uwa wanaleta matatizo ya maendeleo wasingekuwa madarakani.

System na mechanisms zilizokuwa zikiwaweka madarakani viongozi wa kiafrika kabla hata ya uhuru(kumbuka kilichobadilika mara baada ya uhuru ni madaraka zaidi dhidi ya wananchi na si vinginevyo,everything else is the same)
Wananchi sehemu nyingi duniani wamekuwa victims wa system ambazo ni corrupt na zisizosimamia maslahi yao,lakini haina maana kuwa ni wajinga kama system inawapatia viongozi wajinga wasiosimamia maslahi yao,na ndio maana kuna violence na vita va wenyewe kwa wenyewe sehemu za Afrika,hata hivyo wale wajinga ndio wana long leash kwasababu ndio wanaopendwa na big powers,na as long as the will be meddling in a negative ways,sioni how we can progress kwasababu vurugu zikitokea mwenye kuwafacilitated with weapons ni wale wajinga wenye kusimamia interests za mabwana zao,bado tuko nyuma,ni steps ambazo hata mataifa mengi yaliyoendelea ie USA walipitia,we will get there,sikubaliani kabisa kuwa "Waafrika ni wajinga" Wajinga labda nyie.
 
System na mechanisms zilizokuwa zikiwaweka madarakani viongozi wa kiafrika kabla hata ya uhuru(kumbuka kilichobadilika mara baada ya uhuru ni madaraka zaidi dhidi ya wananchi na si vinginevyo,everything else is the same)
Wananchi sehemu nyingi duniani wamekuwa victims wa system ambazo ni corrupt na zisizosimamia maslahi yao,lakini haina maana kuwa ni wajinga kama system inawapatia viongozi wajinga wasiosimamia maslahi yao,na ndio maana kuna violence na vita va wenyewe kwa wenyewe sehemu za Afrika,hata hivyo wale wajinga ndio wana long leash kwasababu ndio wanaopendwa na big powers,na as long as the will be meddling in a negative ways,sioni how we can progress kwasababu vurugu zikitokea mwenye kuwafacilitated with weapons ni wale wajinga wenye kusimamia interests za mabwana zao,bado tuko nyuma,ni steps ambazo hata mataifa mengi yaliyoendelea ie USA walipitia,we will get there,sikubaliani kabisa kuwa "Waafrika ni wajinga" Wajinga labda nyie.

Waafrika ni wajinga tu. Hata ukatae vipi, hata utumie maneno gani kuwatetea, mwisho wa siku ni matendo yao ya kijinga yatakayosikika zaidi na kuonekana. Mwerevu hata siku moja hawezi kuishi maisha kama ya Mwafrika miaka nenda rudi. Watu wanashindwa hata kuchonga madawati ya wanafunzi wa chekechea...sasa huo kama si ujinga ni kitu gani? U genious? Mangi please....
 
System na mechanisms zilizokuwa zikiwaweka madarakani viongozi wa kiafrika kabla hata ya uhuru(kumbuka kilichobadilika mara baada ya uhuru ni madaraka zaidi dhidi ya wananchi na si vinginevyo,everything else is the same)
Wananchi sehemu nyingi duniani wamekuwa victims wa system ambazo ni corrupt na zisizosimamia maslahi yao,lakini haina maana kuwa ni wajinga kama system inawapatia viongozi wajinga wasiosimamia maslahi yao,na ndio maana kuna violence na vita va wenyewe kwa wenyewe sehemu za Afrika,hata hivyo wale wajinga ndio wana long leash kwasababu ndio wanaopendwa na big powers,na as long as the will be meddling in a negative ways,sioni how we can progress kwasababu vurugu zikitokea mwenye kuwafacilitated with weapons ni wale wajinga wenye kusimamia interests za mabwana zao,bado tuko nyuma,ni steps ambazo hata mataifa mengi yaliyoendelea ie USA walipitia,we will get there,sikubaliani kabisa kuwa "Waafrika ni wajinga" Wajinga labda nyie.

Jmushi1:

Tusidanganyane hapa. ukisoma Bios za walitunga declaration of independence la Marekani na framers waliotunga constitution, utaona kuwa steps unazozitaja wewe kuwa mataifa hata USA yalipitia ni uongo uliokomaa.

Ujinga sio kitu kibaya. Hata kwenye kampeni za elimu ya UPE na ya watu wazima, Nyerere alikuwa anasema someni mfute ujinga. Kama waafrika au watanzania sio wajinga, basi angesema someni muongezee ujanja.

Miaka ya 60,70, 80 program za serikali na chama tawala zilikuwa kufuta UJINGA, MAGONJWA, NJAA NA MALAZI. Je mambo haya yametafutiwa ufumbuzi lini?
 
Waafrika ni wajinga tu. Hata ukatae vipi, hata utumie maneno gani kuwatetea, mwisho wa siku ni matendo yao ya kijinga yatakayosikika zaidi na kuonekana. Mwerevu hata siku moja hawezi kuishi maisha kama ya Mwafrika miaka nenda rudi. Watu wanashindwa hata kuchonga madawati ya wanafunzi wa chekechea...sasa huo kama si ujinga ni kitu gani? U genious? Mangi please....

Huwezi kusema huu mkate hovyo kwasababu umekosa amira,kama umekosa amira huo tayari siyo mkate,umeshakosa ingredient muhimu unayoufanya uitwe "mkate" sambamba na hali ya Afrika kwa ujumla,Afrika kama Afrika si Afrika minus History,sijui umenipata?History ni ingredient muhimu sana pale unaposema "Afrika" hivi ama "Afrika" vile....Na ndio maana narudia tena na tena pls revisit history....Waafrika si wajinga.

Nachokubali ni kwamba waafrika si wajinga na waafrika shall overcome provided that there will always be unwavering patriots,the spirit shall live generations to generations,na kama ilivyo kwa jamii nyingi duniani historically,mapinduzi might one day be a solutions provided the spirit is there and the only other ingredient is the right enviroments or situation to ignite a revolution,history can back that up,please revisit.
 
Jmushi1:

Tusidanganyane hapa. ukisoma Bios za walitunga declaration of independence la Marekani na framers waliotunga constitution, utaona kuwa steps unazozitaja wewe kuwa mataifa hata USA yalipitia ni uongo uliokomaa.

Ujinga sio kitu kibaya. Hata kwenye kampeni za elimu ya UPE na ya watu wazima, Nyerere alikuwa anasema someni mfute ujinga. Kama waafrika au watanzania sio wajinga, basi angesema someni muongezee ujanja.

Miaka ya 60,70, 80 program za serikali na chama tawala zilikuwa kufuta UJINGA, MAGONJWA, NJAA NA MALAZI. Je mambo haya yametafutiwa ufumbuzi lini?

Comparison yangu haikuwa hiyo ya steps za constitution,kwanza constitution yetu si ile ya kikoloni?Soma vizuri post yangu usitwist.
Na sijakataa kuhusu ujinga unaosababishwa na ukosefu wa elimu,pointi yangu ya kusema kuwa "waafrika si wajinga" ilibase on the assumption kwamba we can never get out of poverty kama vile mjadala ulivyokuwa ukienda baina yangu na Nyani kwamba haina maana kama tuna viongozi wajinga basi na wananchi wote ni wajinga,sikuzungumzia ujinga wa ukosefu wa elimu kwani sijui kuwa wamesoma?....Ni issue mbili tofauti zinazohusisha neno moja.... "wajinga"
 
Comparison yangu haikuwa hiyo ya steps za constitution,kwanza constitution yetu si ile ya kikoloni?Soma vizuri post yangu usitwist.
Na sijakataa kuhusu ujinga unaosababishwa na ukosefu wa elimu,pointi yangu ya kusema kuwa "waafrika si wajinga" ilibase on the assumption kwamba we can never get out of poverty kama vile mjadala ulivyokuwa ukienda baina yangu na Nyani kwamba haina maana kama tuna viongozi wajinga basi na wananchi wote ni wajinga,sikuzungumzia ujinga wa ukosefu wa elimu kwani sijui kuwa wamesoma?....Ni issue mbili tofauti zinazohusisha neno moja.... "wajinga"


OK ngoja tuseme sio wajinga. Sasa kwanini bado unalandalanda ughaibuni. Kama unavyodai kuwa sio wajinga, basi na upeo mlionao msingepata taabu ya kuwashawishi watu.
 
Nadhani wakuu hapa tuangalie bigger picture. Ukitoa mfano wa Founding fathers wa US miaka 300 iliyopita nadhani hujitendei haki. Yes, US walipitia huko, je ina maana na sisi lazima tupitie huko? why should we reinvent the wheel? Kuna mambo mengi sana tunaweza kujifunza bila kuanza kuhangaika kuanza upya.

Bottom line is: The major task remains with WE THE PEOPLE. Hivi jiulize..leo hii watanzania baba zetu na mama zetu wanakufa njaa kwa magonjwa nk....lakini ni hao hao kesho utakuta wanaimba idumu CCM! baada ya kupewa tshirts mbili..... Effectively tumeshindwa kulink matatizo yetu na prevailing governance failure! Any democracy inahitaji accountability. Yote mtayasema, lakini ukweli ni kwamba Waafrika hatuhitaji mkombozi zaidi yetu sisi wenyewe. Nenda ulaya au America au kwingineko. Bila wananchi kushika hatamu..we are no where near the promised land.

Africa/Tanzania itakombolewa na watu wenyewe. Mpaka watu watakapoamka na kujua wajibu wao kama raia. Hakuna wasomi kutoka Harvard, Oxford au LSE wa uchumi watakaotukomboa. Hao watakomboa familia zao. We simply need ourselves. So we can blame anybody..ccm, Kikwete, Sofia Simba nk....bottomline is those folks will NEVER change kama WANANCHI hawatawalazimisha.

Its high time tuache hizi mediocre excuses za ujinga, umasikini, njaa...kwa maamuzi mabovu ya wananchi ambao ndo sisi. Huu ujinga na njaa havitaisha kwa kauli mufilisi za akina Makamba et al. Zitaisha tuu pale ambapo..tutaweka SOCIAL CONTRACT kati yetu na watawala. Na wala msitegemee kwamba wananchi wote wataenda shule ndipo wafanye uamuzi sahihi. Mi ndo maana nasema tena....waafrika, sad to say..we are simply stupid. Though haina maana kwamba huu ujinga ni permanent. Tukiamua tunaweza kutoka. But so far....we are the ones to blame. Hakuna maendeleo pasipo uwajibikaji. NEVER.

Infact mtu akishasoma na yeye anataka part of the cake..anakaa kimya..the common mwananchi anaendelea kupiga mark time...Ndo maana mimi wasomi wa Afrika siwafagilii kabisa..na wao ni mijinga tuu..maana ikishasoma inakuwa mibinafsi..haina mpango wa common good...ila hapa watakuja kama mbogo..eti wameitwa wajinga..yet hiyo elimu yao inaishia kwenye vitabu vyao huko huko waliko......

Sorry folks...ila waafrika wengi wetu.. sisi tuna matatizo..tunaridhika haraka mno.no wonder akina Mangungo walituuza kwa wajeremani..kwa vipande vya kanzu na mvinyo...
 
Back
Top Bottom