Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

Nini chini ya jua huwa kinapatiwa?


Unajua kuna siku nilifanya kazi ya kuhesabu profession za marais wa Marekani. Zaidi ya 25 wamechukua sheria.

Watu waliochukua engineering, sayansi au mathematics hata watano hawafiki.

Watu wana sheria wanajua kuwa chini ya jua vitu havipatiwi.
 
Julius said:
I am as black as midnight! But if you think I'm not black, let me ask you this, what makes a person black?
A person doesn not become black,rather a person is born black.

Julius said:
I am not biased. I am just not politically correct. I call things as I see them.
No,uko bias kwasababu umebase on the Euro centric point of view,ungekuwa neutral usingewasifia wazungu kwa maendeleo ya mwafrika at the same time umlaumu mwafrika on everything concerning the failure of the continent...Huwa mnanishangaza sana especially wewe na Bluray,wewe ni noma kwasababu unawafagilia wazungu kwa sana tu na kuwaponda weusi.

Julius said:
Double standard iko wapi katika contention yangu? How can I blame whites for the stupidity of Africans? This is the problem with Miafrika, they always like to blame whitey for misfortunes of their own doing. To me that's a major cop-out. Like I said, I'm not politically correct. If you are stupid, you are stupid. End of story.
Double standard yako ni pale unaposema waafrika wasiwablame wazungu on how the continent is shaped na wakati huo huo unasema kuwa maendeleo yetu ametokana na wao,umetoa mfano wa South Africa,kama hatutakiwi kuwablame kwa mishappenings and misfortunes,then haitakiwi tuwapraise kuwa wamtuletea maendeleo....Kufanya hivyo ndo double standard yenyewe,kama unakubali kuwa wameleta maendeleo especially SA,then kwanini ukatae kuwa hawana blame kwenye yale yaliyoharibika?Kama utawala wa kibaguzi wa SA ulikuwa mzuri kwako,na kwamba miafrika ndiyo yenye makosa kwa kuvamiwa na kutawaliwa kimabavu,then you need to revisit your understanding of History.

Julius said:
Hilo hitimisho lako sijui umelifikiaje lakini halitanikosesha usingizi wala kunikondesha!

Naelewa,ila sikuwa na maana,nia wala madhumuni ya kukukosesha usingizi,isipokuwa tu kwenye mijadala mingi sana nimeona misimamo yako juu on issues,topics ama threads yenye similarities na hii.
 
Chini ya jua ndiyo wapi?

Hata kama efficiency ya 100% haiwezi kupatikana, kwa sababu it is against the fundamental laws guiding nature - hence the saying "to err is human"- we have to learn to make progress, and learn from errors. My sense is we do not even acknowledge our errors, imprecision and mistakes.This is why I am attacking a culture of complacency and imprecision. Hata kama hatuwezi kuwa 100% efficient katika communication na implementations, tunaweza kuanza kufanya progress.

Ninaangalia societies za watu zinazojifunza kutokana na matatizo/ mistakes.Viwanja vya watu ikitokea mama kaendesha gari akiwa na watoto huku akiwa amelewa baada ya birthday party, akapata ajali watoto wakafa, watu wataongelea hilo, mbunge atatafutwa na kupigiwa lobbying apeleke sheria, sheria itapewa jina la waathirika. Watu wanahakikisha wanafanya kila kitu kutoruhusu mistake ijirudie, na ikitaka kujirudia kutakuwa na bonge la deterrent.

Hivi bongo kuna sheria gani iliyotungwa specifically kwa sababu ya incident iliyotokea? Kuna sheria gani imetungwa kwa pressure ya wananchi?

Mibomu imelipuka Mbagala, hata watu kujiuliza what went wrong hamna, hata watu kufukuzwa kazi kisanii mradi kuonyesha tu kwamba kuna repercussions hamna. Hata overview ya system ya kutunza silaha na mabomu hamna.Issue imesahaulika na maisha yanaendelea kama kawaida. Mara nyingine namsikiliza Julius na "Waafrika ndivyo tulivyo" na ingawa nampinga kuhusu hilo, kwamba this has nothing to do with Waafrika na everything with uzembe wa baadhi yetu, lakini naelewa kwa nini watu wengine wako tempted kumuunga mkono.

Kwa hiyo hizi Selassian constructs zilizowekwa "to be pursued but never attained" as much as I abhorr utopianism, have a very real purpose to keep us focused and increment the implements of our intellects and cement the dents before we are spent.
 
Unajua kuna siku nilifanya kazi ya kuhesabu profession za marais wa Marekani. Zaidi ya 25 wamechukua sheria.

Watu waliochukua engineering, sayansi au mathematics hata watano hawafiki.

Watu wana sheria wanajua kuwa chini ya jua vitu havipatiwi.

Hata wanafizikia wana "The Second Law of Thermodynamics" inayokataza efficiency ya 100%

Tena wana Heinzerbergs Uncertainty Principle inayosema kwamba huwezi kujua position na momentum ya particles 100% kwa wakati mmoja.

Lawyers are overrated, na mambo yao mengi wanadokoa kwenye natural science, why, they even have the concept of "natural law".
 
437x
 
A person doesn not become black,rather a person is born black.

Ok, so you haven't met me, I presume. Now, how come you've concluded that I am not black?

No,uko bias kwasababu umebase on the Euro centric point of view,

You call it bias I call it straight talk. I agree to disagree without being disagreeable.

ungekuwa neutral usingewasifia wazungu kwa maendeleo ya mwafrika at the same time umlaumu mwafrika on everything concerning the failure of the continent...

Hapo sina uhakika na unachosema. Unasema mzungu alileta maendeleo kwa mwafrika kwa kiasi flani, si ndio?

Huwa mnanishangaza sana especially wewe na Bluray,wewe ni noma kwasababu unawafagilia wazungu kwa sana tu na kuwaponda weusi.

Kwa kweli siyo kwamba nawafagilia wazungu kwa sana ingawa sometimes inaweza ku come across kama hivyo. Lengo langu ni kuwa source of inspiration to do better. Ni kweli kuwa nawaponda sana Waafrika (weusi) na ukiangalia hata mimi mwenyewe najijumuisha. Ukiangalia kwa undani matatizo mengi ya Waafrika yamesababishwa na Waafrika wenyewe. Unaweza ukarudi nyuma hadi kwenye makutano kati ya Afrika na Ulaya uone mwenyewe jinsi Waafrika walivyowezesha wazungu kuwanyonya na kuwatumia.


Double standard yako ni pale unaposema waafrika wasiwablame wazungu on how the continent is shaped.

That's not a double standard. We allowed them to rape us and plunder our resources. They came to us and did all that they did on our home turf. Now you tell me who's the dummy there?

na wakati huo huo unasema kuwa maendeleo yetu ametokana na wao,umetoa mfano wa South Africa,kama hatutakiwi kuwablame kwa mishappenings and misfortunes,

Kwa kiasi kikubwa hizo mishappenings na misfortunes tumeziruhusu sisi wenyewe. Sasa kwa nini niwalaumu wao? Wamekuja kwetu, wametulaghai kutokana ujinga wetu (rejea historia ya machifu waliosaini mikataba bogus n.k.), wametuletea dini na sisi tukazikubali, wametuletea majina na sisi tukaamua kuyatupa ya kwetu. Mbona wao hawakufuata dini/ imani zetu tulizokuwa nazo? Mbona wao hawakubadilisha majina yao? Kuna Miafrika kibao inatwa Bryan, Michael, Jackson, etc. Wewe umewahi kusikia mzungu anaitwa Ngasa?

then haitakiwi tuwapraise kuwa wamtuletea maendeleo....Kufanya hivyo ndo double standard yenyewe,kama unakubali kuwa wameleta maendeleo especially SA,then kwanini ukatae kuwa hawana blame kwenye yale yaliyoharibika?

Mazuri waliyoleta yana far outweigh mabaya. Nani aliwasomesha wapigania uhuru? Bila Mwingereza mngekuwa na Nyerere? Bila Mmarekani mngekuwa na Nkrumah (hata kama Nrumah alisoma kwenye HBCU)? Huyo Azikiwe alisoma wapi? Wakoloni walijenga reli, bandari, miundombinu kibao. Kwa hiyo kwa yale yaliyoharibika yaliharibika kwa sababu tuliruhusu tokea mwanzo kuwa hivyo.


Kama utawala wa kibaguzi wa SA ulikuwa mzuri kwako,na kwamba miafrika ndiyo yenye makosa kwa kuvamiwa na kutawaliwa kimabavu,then you need to revisit your understanding of History.

Well, they came and conquered us. They conquered us because we were weak.
 
Hata wanafizikia wana "The Second Law of Thermodynamics" inayokataza efficiency ya 100%

Tena wana Heinzerbergs Uncertainty Principle inayosema kwamba huwezi kujua position na momentum ya particles 100% kwa wakati mmoja.

Lawyers are overrated, na mambo yao mengi wanadokoa kwenye natural science, why, they even have the concept of "natural law".

Bluray ni "The third law of Thermodynamics" ndiyo inaendana na principle of uncertainity ambapo 3rd law ya thermodynamics inasema its impossible to reach the absolute zero of temperature in a finity number of steps due to uncertainity principle ambayo inastate kuwa it is impossible to know an objects speed and location exactly at the same time...Na pia hii Heinserberg uncertainity principle ndio ilitumika kujenga hoja kuwa light ina momentum to cause microscopic objects like atom or electrons to recoil,kwa hiyo by the time the light enters our eyes the object has moved and is still moving.
You're right about the second law of dynamics and 100 percent engine eficiency,kwa kifupi inaitwa "Carnot engine" ambayo ni famous kama "Impossible engine"
 
Julius said:
Ok, so you haven't met me, I presume. Now, how come you've concluded that I am not black?
Walks like a duck talks like a duck what the heck you think its gon b?A gadamn duck isn't it?Whats a goon to a goblin huh?lol!
Kwenye mijadala mingi umekuwa ukipinga moja kwa moja kuwa eti "Wazungu hawawezi kulaumiwa kwa lolote"

Julius said:
You call it bias I call it straight talk. I agree to disagree without being disagreeable.
Agreeable to be disagreable.

Julius said:
Hapo sina uhakika na unachosema. Unasema mzungu alileta maendeleo kwa mwafrika kwa kiasi flani, si ndio?
Wewe ndio mwenye kusema wameleta maendeleo na miafrika ndo ilivyo,imejiletea umasikini,ilijipeleka utumwani nk.

Julius said:
Kwa kweli siyo kwamba nawafagilia wazungu kwa sana ingawa sometimes inaweza ku come across kama hivyo. Lengo langu ni kuwa source of inspiration to do better. Ni kweli kuwa nawaponda sana Waafrika (weusi) na ukiangalia hata mimi mwenyewe najijumuisha. Ukiangalia kwa undani matatizo mengi ya Waafrika yamesababishwa na Waafrika wenyewe. Unaweza ukarudi nyuma hadi kwenye makutano kati ya Afrika na Ulaya uone mwenyewe jinsi Waafrika walivyowezesha wazungu kuwanyonya na kuwatumia.
Well said,lakini sidhani kama ni source of inspiration to do better by precisely inflicting inferiority and low self esteem kwa maneno ya kuupondea uafrika moja kwa moja.

Julius said:
That's not a double standard. We allowed them to rape us and plunder our resources. They came to us and did all that they did on our home turf. Now you tell me who's the dummy there?
Si unaona double standards?Kwa hiyo inabidi wairaki ndiyo walaumiwe kwa kuwakubalia wamarekani wawavamie?

Julius said:
Kwa kiasi kikubwa hizo mishappenings na misfortunes tumeziruhusu sisi wenyewe. Sasa kwa nini niwalaumu wao? Wamekuja kwetu, wametulaghai kutokana ujinga wetu (rejea historia ya machifu waliosaini mikataba bogus n.k.), wametuletea dini na sisi tukazikubali, wametuletea majina na sisi tukaamua kuyatupa ya kwetu. Mbona wao hawakufuata dini/ imani zetu tulizokuwa nazo? Mbona wao hawakubadilisha majina yao? Kuna Miafrika kibao inatwa Bryan, Michael, Jackson, etc. Wewe umewahi kusikia mzungu anaitwa Ngasa?
Ndio nimesema soma historia vizuri,kabila la English kwanini lilitake over?Na pia unashangazwa nini?Mbona kuna watu wenye majina yenye influence za waarab waportoguese nk? Kuna waliyofanya mema na kuna waliyofanya mabaya,lakini kwasababu walikuwa wameshaambiwa na Darwin only the fitest survive basi waka take adavantage,hata vizazi vilivyopelekwa utumwani ilikuwa ni wale vijana wenye nguvu na wazee vikongwe sana na watoto wadogo ndio walichwa,sasa jamii kama hizo ilikuwa kawaida Afrika,vikongwe hao wanapokufa na kuwaacha watoto wasiojuwa cha kufanya,kizazi hicho ndio kilichoproduce kizazi ambacho kinaendelea hadi sasa....Kufuata dini na hayo mambo mengine ya majina ni mojawapo ya masharti ya kupata elimu nk,na that was under colonization sasa,soma historia vizuri ujuwe kuna tofauti kati ya kipindi cha utumwa na colonization kwa ujumla.


Julius said:
Mazuri waliyoleta yana far outweigh mabaya. Nani aliwasomesha wapigania uhuru? Bila Mwingereza mngekuwa na Nyerere? Bila Mmarekani mngekuwa na Nkrumah (hata kama Nrumah alisoma kwenye HBCU)? Huyo Azikiwe alisoma wapi? Wakoloni walijenga reli, bandari, miundombinu kibao. Kwa hiyo kwa yale yaliyoharibika yaliharibika kwa sababu tuliruhusu tokea mwanzo kuwa hivyo.
Ndiyo hayo hayo ya kutokujua historia,waingereza walivamia everywhere dunia hii na influence yao iko kwa namna moja ama nyingine,na hivyo kuanza kucompare na kusema ndio waliwasomesha wapigania uhuru haina mantiki yoyote,hat kwamfano kwani MLK hakuwa na wazungu waliokuwa nyuma yake?Na kwahiyo basi tutasema wazungu hawawezi kulaumiwa kwasababu kuna waliokuwa wakimsaidia na kumsapoti MLK?Ndio maana MLK mwenyewe akasema kuwa a man is to be judged by his character and not the color of his skin,wewe kazi yako ni kugeneralize to kila siku kuwa "Miafrika ndivyo ilivyo"
Narudia pia soma historia vizuri hiyo miundo mbinu hawakujengewa hiyo miafrika kama unadhani,shughuli ni punda afe mzigo ufike.

Julius said:
Well, they came and conquered us. They conquered us because we were weak.
Narudia tena,low self esteem si kitu chema kupalnt especially to the coming generation,ni maoni yangu tu.
 
Hivi mnajua kuwa hata figures za bajeti ya nchi huwa zinakosewa - talk of preciseness!

Its more than that, kuna efficiency [garbage = garbage out], kuna precision na ile basic triangle R-T-M ambayo siku zote ya kwetu haijawahi kuwa na pande sawa
 
Zinakosewaje? tunazosoma kwenye media huwa sio zenyewe?

Ndio maana unapaswa ujiulize kwa nini kwa mujibu wa Public Expenditure Tracking Survey (PETS) ya 2009 ni 87% tu ya fedha za Elimu zilifika mashuleni!

Sasa kina Julius na Zakumi wanauliza nini kinapatiwa chini ya jua aliloliongelea Mfalme Sulemani mwenye Hekima wakati hapo kuna 13% na sio 1.3% iliyopotea!

Precision is about being as precise as it is humanly possible!
 
Bluray ni "The third law of Thermodynamics" ndiyo inaendana na principle of uncertainity ambapo 3rd law ya thermodynamics inasema its impossible to reach the absolute zero of temperature in a finity number of steps due to uncertainity principle ambayo inastate kuwa it is impossible to know an objects speed and location exactly at the same time...Na pia hii Heinserberg uncertainity principle ndio ilitumika kujenga hoja kuwa light ina momentum to cause microscopic objects like atom or electrons to recoil,kwa hiyo by the time the light enters our eyes the object has moved and is still moving.
You're right about the second law of dynamics and 100 percent engine eficiency,kwa kifupi inaitwa "Carnot engine" ambayo ni famous kama "Impossible engine"

Sikusema kwamba the second law inaendana na uncertainty principle, nimesema the second law inakataza 100% efficiency.

Halafu unaweza kuonyesha uhusiano wa The third law na Heisenberg's principle?

Precision in comprehension please.
 
Ndio maana unapaswa ujiulize kwa nini kwa mujibu wa Public Expenditure Tracking Survey (PETS) ya 2009 ni 87% tu ya fedha za Elimu zilifika mashuleni!

Sasa kina Julius na Zakumi wanauliza nini kinapatiwa chini ya jua aliloliongelea Mfalme Sulemani mwenye Hekima wakati hapo kuna 13% na sio 1.3% iliyopotea!

Precision is about being as precise as it is humanly possible!

Kwenye mfano wako huo unaboronga sana. Ikiwa unapanga bajeti ya vitu vilivyopita, unaweza kufikia 98.7% au hata 100% ya vile ulivyopanga kwa sababu kila kitu unakijua.

Lakini kama unapanga bajeti ya mwaka unaokuja inabidi utegemee forecast zako ya vitu unavyojua na usivyovijua. Na kutokana na kuwa forecast sio sayansi, haziko accurate na kuna matatizo yasio tabirika yanayoweza kutokea, basi ni vizuri kujaribu kuwa effecient na sio kung'ang'ania kuwa Precision.
 
Lugha ya sheria ingekuwa "precise" basi kungekuwa hakuna haja ya interpretation ya sheria kwa sababu kila siku nasikia wanasheria wakibishana jinsi ya kutafsiri sheria flani...

Chukulia mfano wa mchezo wa drafti,kingi ina precise power,inamove back and forth kama vile wanavyosema kuhusu sheria kwamba ni msumeno unaokata pande zote,hata hivyo kingi hiyo kwenye mchezo wa drafti ni lazima uizungushe kadri uwezavyo ili pale zinapokuwa aligned na kete nyingine either uweze kuzila ama kingi yenyewe iliwe,sambamba na sheria,preciness ya lugha yake iko pale pale,lakini kwenye kesi,sheria hiyo ni lazima itafsiriwe ili either imput someone in to gulity ama im exenorate....Precisely.
 
Back
Top Bottom