TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Serikali kupitia Baraza la Michezo Tanzania(BMT) imezisitishia timu za Simba na Yanga mipango ya kubadili umiliki wa Timu hizo na hivyo Wanachama kuendelea kuwa wamiliki halali wa timu hizo.
Baraza la Michezo la Taifa limezitaka timu hizo zifuate sheria katika michakato yao ya kubadilisha umiliki hadi hapo klabu hizo zitakapo badilisha katiba zao kutoka kwenye umiliki wa wanachama kwenda kwa umiliki binafsi.
BMT imesema kuendelea na michakato hiyo bila kubadilisha katiba ni kinyume na sheria na hatua stahiki zitachukuliwa kwa watakaokiuka agizo hilo.
Baraza la Michezo la Taifa limezitaka timu hizo zifuate sheria katika michakato yao ya kubadilisha umiliki hadi hapo klabu hizo zitakapo badilisha katiba zao kutoka kwenye umiliki wa wanachama kwenda kwa umiliki binafsi.
BMT imesema kuendelea na michakato hiyo bila kubadilisha katiba ni kinyume na sheria na hatua stahiki zitachukuliwa kwa watakaokiuka agizo hilo.