Kwa kifupi Golf- Runx, Polo - Vitz, IST kuna Corolla Runx ikiwa na engine ya 1ZZ -GE hio ni hatari...Ndio maana nikasema ukiangalia build Quality utaona Golf ana materials nzuri zaidi ila kimsingi Class ya gari na wanunuzi ni wale wale wamelengwa!
Zote ni hatchbacks na wanunuzi ni wale wanaopenda gari ambazo hazina muundo wa Teksi! Iwe tu sporty car flani ambayo haina tako refu they did it with Runx!
Watakao admire ile build quality ya kijerumani basi watanunua VW Golf ama Audi A3 ile maisha yanakwenda. Wanaozingatia Reliability na low running costs basi wataenda na Runx!
Sio crown zote hizo 7 series wake ni crown majesta, GRS180 mpinzani wake ni 5 series, hio 3 series ilikua ni wakina Altezza ila continuation yake ni Lexus IS250...Sawa sawa, na 3 series ligi moja na IS na kina Altezza kwa japan. Na toyota JAPAN Crown ndio flagship yao, so all crowns zina compete na 7 series (in Japan) ila Toyota USA, flagship yao ni Avalon.
All in all, only Lexus LS ndio anaeweza kumtingisha 7 series kutoka kwa mjapan. Hizo crown na avalon naona ni kama wannabe cars
Nmetaarifiwa Crown ni taxi huko japanHabarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.
Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.
ASANTENI
Balaa mbaya kabisa!Kwa kifupi Golf- Runx, Polo - Vitz, IST kuna Corolla Runx ikiwa na engine ya 1ZZ -GE hio ni hatari...
Runx ina maajabu gani?Balaa mbaya kabisa!
Tafta ya 2ZZ-GE utaelewa somo vizuriRunx ina maajabu gani?
Wacha niendelee kupambana na Xtrail tuTafta ya 2ZZ-GE utaelewa somo vizuri
Haahaha amna gari humoWacha niendelee kupambana na Xtrail tu
Naelewa Mkuu ndo maana napambana nimtafutie back-up in case kimenuka. Natafuta mid-SUV ambayo si ghali, na isizid 3,000 cc. Ushauri wako tafadhaliHaahaha amna gari humo
Suv kama Outlander inaweza kukufaaNaelewa Mkuu ndo maana napambana nimtafutie back-up in case kimenuka. Natafuta mid-SUV ambayo si ghali, na isizid 3,000 cc. Ushauri wako tafadhali
Ndugu, Crown kama crown ni flagship ya Toyota Japan, haijaalishi model ipi na 7 series ni flagship ya BMW haijaalishi ni ipi katika hio series.Sio crown zote hizo 7 series wake ni crown majesta, GRS180 mpinzani wake ni 5 series, hio 3 series ilikua ni wakina Altezza ila continuation yake ni Lexus IS250...
Ndugu, Crown kama crown ni flagship ya Toyota Japan, haijaalishi model ipi na 7 series ni flagship ya BMW haijaalishi ni ipi katika hio series.
Kwenye Crown unakutana na Athelete, Royal Saloon na Majesta, kwenye Bimmer unakutana na 730, 740, 750, 760. Toyota wao badala ya kuzipa namba kwenye same category, wamezipa majina kabisa
Sasa hizo 730, 740, 750, 760 si ni engine tofauti hizo mkuu vile vile kwenye crown majesta inayo compete na 7 series zipo engine tofauti i.e 2.0L, 2.5L na 3.5L hybrid vile vile kuna trim kadha wa kadha kama vile B, S, G, G Executive, RS-B, RS, and RS Advance kitu unachotakiwa kujua kila gari unayoiona i.e ya Kizungu ipo competitor wake wa kijapanNdugu, Crown kama crown ni flagship ya Toyota Japan, haijaalishi model ipi na 7 series ni flagship ya BMW haijaalishi ni ipi katika hio series.
Kwenye Crown unakutana na Athelete, Royal Saloon na Majesta, kwenye Bimmer unakutana na 730, 740, 750, 760. Toyota wao badala ya kuzipa namba kwenye same category, wamezipa majina kabisa
Ina kichwa cha x6 ile!Halafu ukitaka BMW upate size ya Athlete inabidi ununue 5 series.
Kujifariji huko, pambana ndugu sana.
Prado J120 aliwahi kuimiliki Diamond baada ya kuuza Opa😅Wabongo mna majina.
Prado diamond ndo naisikia leo.
Ipoje hiyo?
Hamnaga Lexus kimeo msee.Basi vyote vimeo tu
Gharama za matengenezo kwa Toyota cars kwa mwaka mtu aandae walau $550 ila kwa mmiliki wa BMW aandae kati ya dollar $1000-1500 hii ni kwa mujibu wa wazoefu wa hizo gari hasa mamtoni!Sio unachukua BMW imetembea 150,000km, ya mwaka 2005, uje ulinaganishe na Crown au Lexus iliyotembea 50,000km ya mwaka 2007 au 2008
Hata mie nimesikia BMW ni taxi huko ujerumani😅