BMW 3 Series vs Crown Athlete

BMW 3 Series vs Crown Athlete

Ndio maana nikasema ukiangalia build Quality utaona Golf ana materials nzuri zaidi ila kimsingi Class ya gari na wanunuzi ni wale wale wamelengwa!

Zote ni hatchbacks na wanunuzi ni wale wanaopenda gari ambazo hazina muundo wa Teksi! Iwe tu sporty car flani ambayo haina tako refu they did it with Runx!

Watakao admire ile build quality ya kijerumani basi watanunua VW Golf ama Audi A3 ile maisha yanakwenda. Wanaozingatia Reliability na low running costs basi wataenda na Runx!
Kwa kifupi Golf- Runx, Polo - Vitz, IST kuna Corolla Runx ikiwa na engine ya 1ZZ -GE hio ni hatari...
 
Sawa sawa, na 3 series ligi moja na IS na kina Altezza kwa japan. Na toyota JAPAN Crown ndio flagship yao, so all crowns zina compete na 7 series (in Japan) ila Toyota USA, flagship yao ni Avalon.

All in all, only Lexus LS ndio anaeweza kumtingisha 7 series kutoka kwa mjapan. Hizo crown na avalon naona ni kama wannabe cars
Sio crown zote hizo 7 series wake ni crown majesta, GRS180 mpinzani wake ni 5 series, hio 3 series ilikua ni wakina Altezza ila continuation yake ni Lexus IS250...
 
Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza.

Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN ATHLETE.

ASANTENI
Nmetaarifiwa Crown ni taxi huko japan

images (1) (8).jpeg
 
Sio crown zote hizo 7 series wake ni crown majesta, GRS180 mpinzani wake ni 5 series, hio 3 series ilikua ni wakina Altezza ila continuation yake ni Lexus IS250...
Ndugu, Crown kama crown ni flagship ya Toyota Japan, haijaalishi model ipi na 7 series ni flagship ya BMW haijaalishi ni ipi katika hio series.

Kwenye Crown unakutana na Athelete, Royal Saloon na Majesta, kwenye Bimmer unakutana na 730, 740, 750, 760. Toyota wao badala ya kuzipa namba kwenye same category, wamezipa majina kabisa
 
Ndugu, Crown kama crown ni flagship ya Toyota Japan, haijaalishi model ipi na 7 series ni flagship ya BMW haijaalishi ni ipi katika hio series.

Kwenye Crown unakutana na Athelete, Royal Saloon na Majesta, kwenye Bimmer unakutana na 730, 740, 750, 760. Toyota wao badala ya kuzipa namba kwenye same category, wamezipa majina kabisa

Hivi Luxury sedan za toyota ni zipi?

Ambazo zinaweza kuwa ligi moja na 7 series, S clas au Audi A8
 
Ndugu, Crown kama crown ni flagship ya Toyota Japan, haijaalishi model ipi na 7 series ni flagship ya BMW haijaalishi ni ipi katika hio series.

Kwenye Crown unakutana na Athelete, Royal Saloon na Majesta, kwenye Bimmer unakutana na 730, 740, 750, 760. Toyota wao badala ya kuzipa namba kwenye same category, wamezipa majina kabisa
Sasa hizo 730, 740, 750, 760 si ni engine tofauti hizo mkuu vile vile kwenye crown majesta inayo compete na 7 series zipo engine tofauti i.e 2.0L, 2.5L na 3.5L hybrid vile vile kuna trim kadha wa kadha kama vile B, S, G, G Executive, RS-B, RS, and RS Advance kitu unachotakiwa kujua kila gari unayoiona i.e ya Kizungu ipo competitor wake wa kijapan
 
Basi vyote vimeo tu
Hamnaga Lexus kimeo msee.

Labda iwe na factory defect iwe ina kilema flani toka kiwandani ila kwa ranking ya reliability scores Lexus ina points 4 out of 5!
BMW ina points 2.5 out of 5!

Yani ina GPA ya gentleman kabisa Lower second😅😅😅 kama division ni Four ya 28 kabisa.
 
Sio unachukua BMW imetembea 150,000km, ya mwaka 2005, uje ulinaganishe na Crown au Lexus iliyotembea 50,000km ya mwaka 2007 au 2008
Gharama za matengenezo kwa Toyota cars kwa mwaka mtu aandae walau $550 ila kwa mmiliki wa BMW aandae kati ya dollar $1000-1500 hii ni kwa mujibu wa wazoefu wa hizo gari hasa mamtoni!
 
Back
Top Bottom