Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Jua kidogo tu ishaanza kupasuka pasuka.Hiyo dash ya crown sasa.😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jua kidogo tu ishaanza kupasuka pasuka.Hiyo dash ya crown sasa.😄
Kwa upande wa kampuni ya Toyo gari za kuvimba nazo kwangu mm ni version za cruiser labda na fortuner na nyingine chache sana kama Tundra na wildlander.Jua kidogo tu ishaanza kupasuka pasuka.
Hapo umenena sasa! Gari ya backup always lazma uwe na chuma ya Toyopet au YokohamaUnahitaji uwe na gari mbili ndio utainjoi gari za Wazungu. Sio gari inazingua unaisubiria kama kauka nikuvae utakuwa disappointed.
Shida huwezi kupata kama Bank kuna mzigo wa kutosha! Ila wale unga unga mwana hali ya kuteseka haikwepeki!Usema kweli sijapata shida yoyote na gari ya mjerumani wala hizo wanazo ita miti ya christmass.. kama ambavyo watu wanaongea ongea kitaa
Duh ukiwa na uwezo wa kununua Cruiser (sio ya miaka 15 iliopita) yenyewe inajieleza wala huna sababu ya kujitutumua. Imagine Prado diamond bila 50m hujaingiza barabarani.Kwa upande wa kampuni ya Toyo gari za kuvimba nazo kwangu mm ni version za cruiser labda na fortuner na nyingine chache sana kama Tundra na wildlander.
Rav 4 masawe inadumu ila nayo waliibana mpaka ukiwa ndani utadhani upo kwenye sufuria kubwa lenye viti, plastic na sponji.
Hizi crown sijui brevis/mark X hazina maisha marefu kabisa zikishafika huku kwetu. Zipo too weak linapokuja suala la durability.
Ila hapa nazungumzia magari ambayo watanzania wengi tunanunua. Namaanisha magari ya miaka 17 mpaka 20 huko nyuma.
Hamna gari mbaya ukiwa na hela mi sina kipingamizi we nunua hata Maseratti tembelea! Ila naopingana nao ni wale ambao wanafosi kingi ilihali uchumi hafifuSidhani kama ni over engineered ila kiukweli sisi wabongo hatupendi shida.
Mfano mdogo tu... Angalia watu wanavyozichukia D4 engines.
Engine za D4 zimeshabatizwa kila aina ya majina. Lakini ni engine nzuri kama mtu anaweza kuitunza na kuipa inachotaka. Inakupa more power with low fuel consumption kwa sababu muda mwingi inarun lean.
Sasa gari nyingi za mjerumani zinatumia mfumo ambao ni exact the same na hizo zinazotumia D4.
Ni gari ngapi za Audi au VWumeziona zimeandikwa TFSI/TSI?
Ni benz ngapi umeziona zimeandikwa CGI?
Pia linaanza kwanza gari za hivo hazitaki kidebe.
Unadhani wabongo wangapi watasalimika hapo?
Ndio ukilimbikiza madeni inafika mahala hukopesheki tena na unakuta huna uwezo wa kulipa ndio mwanzo wa kuwa mufirisi 😀😀😀😀 hiyo ina work na huko pia kwa mjerumaShida huwezi kupata kama Bank kuna mzigo wa kutosha! Ila wale unga unga mwana hali ya kuteseka haikwepeki!
Taa ya abs sensor inawaka unasema haina shida, mara inaanza tyre pressure sensor! Ukija kushangaa dashboard yote inameremeta hapo ndio utajua hujui! Ukienda kusomewa mkeka sensor 10 zishakufa!
Hahahahah kama mtu anaweza weka VX.R ya 2018 barabarani hamna haja ya kujieleza sana😂Duh ukiwa na uwezo wa kununua Cruiser (sio ya miaka 15 iliopita) yenyewe inajieleza wala huna sababu ya kujitutumua. Imagine Prado diamond bila 50m hujaingiza barabarani.
Golf ina class ya corolla bladeNope siyo ushabiki, kwamba Golf iko class moja na Runx?
Hahahahah sasa imagine kila sensor isipungue 200k zikiwa 10 ni bei gani?Ndio ukilimbikiza madeni inafika mahala hukopesheki tena na unakuta huna uwezo wa kulipa ndio mwanzo wa kuwa mufirisi 😀😀😀😀 hiyo ina work na huko pia kwa mjeruma
Hapo ukweli kutoboa ni ngumu ni kupaki tu 😀😀😀Hahahahah sasa imagine kila sensor isipungue 200k zikiwa 10 ni bei gani?
Unakuta mtu kashazoea sensor za kunyofoa pale Tandale 40k tu
Eeh halafu bank mzigo hausomeki! Acha tupambane na paso tuHapo ukweli kutoboa ni ngumu ni kupaki tu 😀😀😀
Kabisaaa. Inavimba kwa niaba yako.Duh ukiwa na uwezo wa kununua Cruiser (sio ya miaka 15 iliopita) yenyewe inajieleza wala huna sababu ya kujitutumua. Imagine Prado diamond bila 50m hujaingiza barabarani.
🤣🤣🤣🤣 umeua mkuuRav 4 masawe inadumu ila nayo waliibana mpaka ukiwa ndani utadhani upo kwenye sufuria kubwa lenye viti, plastic na sponji.
Shida huwezi kupata kama Bank kuna mzigo wa kutosha! Ila wale unga unga mwana hali ya kuteseka haikwepeki!
Taa ya abs sensor inawaka unasema haina shida, mara inaanza tyre pressure sensor! Ukija kushangaa dashboard yote inameremeta hapo ndio utajua hujui! Ukienda kusomewa mkeka sensor 10 zishakufa!
Hahahahah sasa imagine kila sensor isipungue 200k zikiwa 10 ni bei gani?
Unakuta mtu kashazoea sensor za kunyofoa pale Tandale 40k tu
😀😀😀🤣🤣🤣🤣 umeua mkuu
Inaweza isiwe toyota, unaweza ukamiliki wajerumani hata wanne.Hapo umenena sasa! Gari ya backup always lazma uwe na chuma ya Toyopet au Yokohama
Wabongo mna majina.Duh ukiwa na uwezo wa kununua Cruiser (sio ya miaka 15 iliopita) yenyewe inajieleza wala huna sababu ya kujitutumua. Imagine Prado diamond bila 50m hujaingiza barabarani.