Naikubali Sana sema hela Sina. Nimeishia Pajero ioBMW X3 NI MNYAMA MKALI SANA AISEEEE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naikubali Sana sema hela Sina. Nimeishia Pajero ioBMW X3 NI MNYAMA MKALI SANA AISEEEE
[emoji23][emoji23] case studyHahahahah hao watu nawaitaga case study! Katika maisha jiadhari sana na kuwa "shamba darasa" au "mfano kwa wengine" hiki cheo huwa kiko kwa watu maalum katika jamii ila usiombe ukawa mfano. [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaha hii imemshinda nn ?[emoji23]Naona huyu mwana hapo chini kaona ajilipue tu.,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 1682590
@financial services...Mimi na IST yAngu ntakuweza kweli?[emoji16][emoji16]Gari nzuri na zina heshima yake mjini! sasa hizo bei za spares mmh ghari !cost ya Diagnosis yake tu [emoji848], ila barabarani nikiona BMW,BENZ,VW,RANGE ROVER SPOT/DISCOVERY 4 huwa naziappreciate sana yani ziko vizuri.
Kwahio kile kimkangafu cha bebi wako Extrovert huki appreciate 😂😂😂Gari nzuri na zina heshima yake mjini! sasa hizo bei za spares mmh ghari !cost ya Diagnosis yake tu 🤔, ila barabarani nikiona BMW,BENZ,VW,RANGE ROVER SPOT/DISCOVERY 4 huwa naziappreciate sana yani ziko vizuri.
Hahaa! Ntafanyaje sasa ndiyo gari ya babe wangu! Naiappreciate hivo hivo babe! Ndiyo ujitahidi sasa upate mojawapo lasivyo akitokea mwenye nayo byeee 😀Kwahio kile kimkangafu cha bebi wako Extrovert huki appreciate 😂😂😂
😃😃😃😃😃 Naona hali tete mkuu.Hahaha hii imemshinda nn ?[emoji23]
Utaniweza kabisa yani hizo namaanisha tu nazipendaga ila si kwamba zingine sizipendi hivo mkuu. Usininukuu vibaya 😀😀@financial services...Mimi na IST yAngu ntakuweza kweli?[emoji16][emoji16]
Wewe ni kajinga! Sasa hizo si anapewa daily tu mkuu babe tena😀😀Hapo kwny chachu nilisoma fasta nikaona 'nakupa chuchu'.
Samahanini lkn ndg zangu.
Koma!Unampa chuchu amekuwa mtoto?😄😄😄Wewe ni kajinga! Sasa hizo si anapewa daily tu mkuu babe tena😀😀
We mtoto huna adabu kabisa😀😀[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji2][emoji2][emoji2] wakubwa wanafaidi,daaaaaah.
Huyu ni mtoto mkubwa! Acha adeke.Koma!Unampa chuchu amekuwa mtoto?😄😄😄
😻🕺Huyu ni mtoto mkubwa! Acha adeke.
Wivu tuu
Spear kama unatunza gari na service kwa wakati sio big deal sana, ila kama mtu ananunua chuma chakavu hapo lazima imkalishe chiniMchawi spea tu
😀😀😀 kwenye humps kubwa, unatega kasikio kwa nje, huku moyo ukisikitika inavyo chuna chiniNi kweli. Ila kwangu mimi iko chini sana. Mm ni mpenz wa magari yenye ground clearance kubwa. Yaan yapo juu.
Series 1 ni nzuri.. ila kwenye bamps kubwa sasa
hahaha kuna moja ilipanda bamps za moshi. huho lio unaweza sema gari imedondosha engine.[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye humps kubwa, unatega kasiki kwa nje, huku moyo ukisikitika inavyo chuna chini
😀😀😀 unasikia tu mtu anasema ayaaaa, huku kauma meno. Ila usema kweli mie napenda sana sedan ingawa changamoto yake ni hiyo. Sijawai vutiwa na gari tofauti sedan.hahaha kuna moja ilipanda bamps za moshi. huho lio unaweza sema gari imedondosha engine.