Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Acha hizo kuna range rovers nyingi sana nimeziona gereji za mitaa ya kinondoni na sinza zimetelekezwa sijui kuna siri gani humo
Ndio hao sasa wameyatelekeza.Ina maana kwenye garage zote za Tanzania hakuna gari za kijapan?
Kumbuka watu wote hatuwezi kumiliki Toyota Tu kuna wengine huwaambii kitu Kwa mjerumani....
Umaskini ndio tatizo, unakopa benki milioni 35, unamvua mtu Disco 4 milioni 30 ili uvimbe nalo mjini. Unaenjoy nalo baada ya miezi mitatu linakorofisha linazima.Kuna garage nimekuta Disco 4 . siwezi sema zimetelekezwa ila zimekaa kitambo. Moja ya sababu naelewa ni gharama za matengenezo ambazo mtu akiambiwa lazima akajipange kwanza ba gari haiendesheki
Hahahahah si wanasemaga dunia kijiji mkuu wacha wamiliki vyuma tu 🤣🤣 🤣 mwisho wake ndio huo!
Upo sahihi mkuu..Ndio hao sasa wameyatelekeza.
Utawaambia nini?
ni kweli "huwaambii kitu"
Sinza Kumekucha pale Soprano Garage asimilia 85% ya magari yaliotelekezwa pale (tuseme yanayokaaga miezi mpaka yapone) ni European Cars.
Toyota zilizopata ajali zinaletwa hazichukui hata siku tatu zinarudi kwa Road.
Mjerumani akianza kutaga huwa haponi moja Kwa moja kilasiku utapitia Tu Kwa fundi kumsalimia..Hahahahah si wanasemaga dunia kijiji mkuu wacha wamiliki vyuma tu 🤣🤣 🤣 mwisho wake ndio huo!
Invoice ikija ni bei ya Passo!
Sio kwamba zimekosa mafundi?Kuna garage nimekuta Disco 4 . siwezi sema zimetelekezwa ila zimekaa kitambo. Moja ya sababu naelewa ni gharama za matengenezo ambazo mtu akiambiwa lazima akajipange kwanza ba gari haiendesheki
Ndo kutelekeza huko Sasa. Mnanunua magari yasiyo na mafundi bongo ili iweje?Sio kwamba zimekosa mafundi?
Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain?...
Unaandikia dissertation?Mkuu share picha kidogo kutoka garage za dar
Ntafanya research kutoka kwenye nyuzi za EuropeanUnaandikia dissertation?
PoaNtafanya research kutoka kwenye nyuzi za European
Hawa wajapani waliovamia huko kwa wajerumani ndio wanaoyalaza garage.Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
Kutunza gari ni kazi na wengi hawawezi.Acha hizo kuna range rovers nyingi sana nimeziona gereji za mitaa ya kinondoni na sinza zimetelekezwa sijui kuna siri gani humo