Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah bei ya supu ni kama sh. Ngapi maana zilizonyooka ni 13M hadi 20MAhida sio kutelekeza tu shida ni kuzifanyia maintenance bana mostly wananunua magari kwa showoff sasa zinawashinda matengenezo ni sawa na hawa wanao nunua crown athlete zinawashinda kuweka mafuta wanaziuza bei ya supu