BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Utakuta kila fundi anaepelekewa anazidi kuiharibu
Yaani mbongo kusema SIJUI ni kazi sana
Ujuaji mwingi hawezi kusema aisee mimi sijawahi kutengeneza zaidi ya mjapan
Anaona kama aibu vile
Matokeo yake anazidi kuharibu

Ukiwa na mjerumani peleka kenya kuna mafundi wazuri maana wanazo nyingi

Kijana ukipata hela kasomee kutengeneza hizi ndinga utaletewa zote hizo

Bahati nzuri mi muhenga mwenye hela 😄 zamani ningeenda Nairobi kujifunza
 
Vijana wanapenda kazi laini eg. Photographer na saloon make up, kupaka rangi kucha.
 
Wewe ulietajirika una bilioni ngapi kwenye akaunti na ndani kwako..

NB; wewe kama chumbani kwako hauna BILIONI 7 basi wewe ni maskini wa kutupwa bado.
Pole sana
Kumbe unadhani kuwa na hela nyumbani ndio utajiri
Poor you
Wanaoiba kama wale waliokutwa na mabilioni nyumbani ndio unafikiri ni utajiri huo
Hela za wizi na magendo na za unga ndio unaweka ndani ili utakatishe

Hela zinazungushwa ila kama unadhani tajiri anaweka mabilioni ndani basi utabaki masikini hivyo hivyo na akili ya kudumaa

Nimekushangaa sana kwa akili yako hiyo
Kwa hiyo ukipata 1B unafanya godoro ili iweje
Amka hapo ulipo utajiri hauna hesabu masikini wewe
 
Narudia! ..Nasema hivi kama chumbani kwako ama hata kwemye akaunti yako hauna bilioni 7, wewe bado una struggle kwenye umaskini. Kubali kataaa kunywa sumu kufa, ndio ukweli. Kalagabaho!
Wewe utakufa masikini pole sana
Hata maana ya utajiri huujui
Nani alikudanganya ujinga huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…