Hahahah bei ya supu ni kama sh. Ngapi maana zilizonyooka ni 13M hadi 20MAhida sio kutelekeza tu shida ni kuzifanyia maintenance bana mostly wananunua magari kwa showoff sasa zinawashinda matengenezo ni sawa na hawa wanao nunua crown athlete zinawashinda kuweka mafuta wanaziuza bei ya supu
European car Tena umvue mtu bongo (tena ngozi nyeusi, afadhali ingekuwa mhindi au Mzungu wao angalau wanatunza magari) Lazima ijambe muda si muda!Hahahah ni swala la muda tu 🤣
Chris mjasiriamali akishauza yeye mmemalizana. Maintenance inabak Kwa mtumiajiChris Lukosi anawaaminisha madungu jeshi ndio kila kitu ,sio unamiliki kibakuli.
Jiulize kwa sasa tunatumia usafiri ganiWakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
X5 zimekaa kibabe nazikubaliWakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
Crown zimegoma kushuka bei kaka,ile comfy si mchezo watu hawajali wese kama ilivyo kwa altezza na brevis,crown wamelifumbia machoHahahah bei ya supu ni kama sh. Ngapi maana zilizonyooka ni 13M hadi 20M
Crown zipi zimegoma kushuka Bei? Crown unapata kwa Mil 11,12,13. Tena nzuri kabisa namba mpya.Crown zimegoma kushuka bei kaka,ile comfy si mchezo watu hawajali wese kama ilivyo kwa altezza na brevis,crown wamelifumbia macho
Hizo ndio bei zake miaka sasa,wengi walitarajia itashuka ilivyo kwa brevis na mark xCrown zipi zimegoma kushuka Bei? Crown unapata kwa Mil 11,12,13. Tena nzuri kabisa namba mpya.
Matengenezo ya gar mda mwingine una letewa bili ya vitu unadhani umemaliza kumbe bado hujaonana na fundi 😆😂Mjapan ukiwa na 200k unafanya service saafi kabisa, sasa njoo mzungu oil pekee 150k+ hujqgusa filter, hydraulic, brakepades, hujagusa Sparkcoils, airfilter Nk.
Ukimaliza fundi amekaa palee ana kimashine cha POS 🤣🤣🤣🤣 au Lipa namba
Unajua bei ya kuingizia? Bei za crown zipo chini kuliko hata IST au Allex.Hizo ndio bei zake miaka sasa,wengi walitarajia itashuka ilivyo kwa brevis na mark x
Mark X gari sana.Hizo ndio bei zake miaka sasa,wengi walitarajia itashuka ilivyo kwa brevis na mark x
Point of correction hizo sio SUV ni station wagon!Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umaskini ndio tatizo, unakopa benki milioni 35, unamvua mtu Disco 4 milioni 30 ili uvimbe nalo mjini. Unaenjoy nalo baada ya miezi mitatu linakorofisha linazima.
Unalikokota mpaka gereji unaambiwa mpaka lipone inatakiwa uweke milioni nane mezani. Unaamua kulikacha ujipange mdogo mdogo. Linabaki kua screpa la madogo wanaosadia fundi kupumzikia na kuvutia sigara gereji.
Uspesho wa hayo magari upo wapi mpaka yakose mafundi Bongo?Ndo kutelekeza huko Sasa. Mnanunua magari yasiyo na mafundi bongo ili iweje?