Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

Nalinunua hilo nimpate Kasinde,kanihamasisha kweli

Hahahahahahah nashukuru kuwa nguvu uchochezi ya kukufanya uongeze bidii kununua BMW... kila la kheri mwaya.
 
Ntakusubili Nyegezi. Walah this time nakojolea ndani maana hakuna namna honey🙂

Hahahaha sema polepole wasisikie watakufanyia mtimanyongo nisirudi tena huko. ... utasikia flight zote za mwanza zimezuiwa until further notice, mabasi mwisho shinyanga, kisha kuanzia hapo hadi mwanza ni vi haice tuu.... Twende polepole tufanye yetu kimya kimya....
 
Fanya hivyo na huyojutia. ... ila tuu baadae akili zikikukaa sawa usianze kunilalamikia na kunilaumu ... ila utamu hautotoka akilini mwako..
[emoji1] katu sitoweza jutia mama.. Tena nachelewa ngoja niwai kabisa usije mwali ukagahili bule[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
wewe frank wewe ukiwa na bmw natembea uchi majukwaa yote humu jf

Duuh angalia usijebadili au ku edit haya maneno.... mwezi wa 11 sio mbali atii. Haya jiandae kisaikolojia kabisa labda uanze na riheso ya hayo matembezi. ....
 
Back
Top Bottom