Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
unayo nikupe namba?Hivi hizi BMW kumbe watoto wanashoboka mbaaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unayo nikupe namba?Hivi hizi BMW kumbe watoto wanashoboka mbaaya
nakujaNjoo PM.
Eti Mungu nipe pesa,ha ha haaaaaaaImekushinda nini mkuu?
Mungu nipe pesa.
Ushachelewa mkuu,tayari nimeshalinunua[emoji1] katu sitoweza jutia mama.. Tena nachelewa ngoja niwai kabisa usije mwali ukagahili bule[emoji125] [emoji125] [emoji125]
😀😀Beamer Benz or Bentley... Hicho kidude kinatuliaga sana mwenye lami aisee!
Ndiyo. Pesa ndo nayomuomba Mungu. Bora kina Kasinde na Miss natafuta wana vitega uchumi vyao.Eti Mungu nipe pesa,ha ha haaaaaaa
Yule binamu nyama ya hamu alokuja south Africa alikula mzigo nae?[emoji15]Hizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......angetafuna na angemwaga ndani
Yule binamu nyama ya hamu alokuja south Africa alikula mzigo nae?[emoji15]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ushaambiwa hii ni nchi ya vichaa unashangaa nini sasa?Tuliza akili unapotaka kuchangia mada yani muuzaji unamwambia anunue tena!!!
Ule uzi niliusoma nikiwa safarini kwahio sijaumaliza ndio maana nikataka kujua. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kala kibao mwenzio alikuwa anatoka udenda kama fisi anaesubiri mfupa.[emoji12] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wee naeee ndo kusema umesahau au uchokozi tuu. Ilikuwa nikwambie nenda tena kwenye ule uzi ukasome kilichojiri, ila nimeghairi.
Binamu ni kaka yangu au umbu langu siwezi katu kumfunulia maungo yangu. Binamu aliishia kula kibao cha keleb kutoka kwa Kasie kisha akapanda ndege na kurudi TZ. Umeelewa? ?!!!
nataka nichukue BMW ya moto zaidi ya hii mkuuImekushinda nini mkuu?
Mungu nipe pesa.
mkuu na ndio maana nataka kuscan mauzo nishushe msumeno zaidi ya huu....ni mwendo wa BMW tuHivi hizi BMW kumbe watoto wanashoboka mbaaya
mewahi endesha hili gari mkuuNi bahati mbaya sana salon car hata ingekuwa na jina au uzuri kiasi gani haijawahi kunivutia huwa naona yote ni kama taxi tu halafu yapo chini ikinyesha unaendesha kwa wasiwasi zaidi ,ukileta SUVs umenikamata,samahani mleta uzi
Ule uzi niliusoma nikiwa safarini kwahio sijaumaliza ndio maana nikataka kujua. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kala kibao mwenzio alikuwa anatoka udenda kama fisi anaesubiri mfupa.[emoji12] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ni bahati mbaya sana salon car hata ingekuwa na jina au uzuri kiasi gani haijawahi kunivutia huwa naona yote ni kama taxi tu halafu yapo chini ikinyesha unaendesha kwa wasiwasi zaidi ,ukileta SUVs umenikamata,samahani mleta uzi
unamiliki gari yeyote kati ya hizo ulizozitaja? Gari ya mkono wa kushoto utaijua ubaya wake uwe na safari ya masafa hivi unaovateki vipi? Usitamani tu teh teh teh. Ni kimeo zile kwa mazingira yetu..Mie napenda gari za kampuni ya CHEVROLET TAHOE, LEXUS CRUISER, GMC, PRADO V8, LINCOLN, ambazo usukani wake upo upande wa kushoto kwa sababu mm mwenyewe huwa natumia mkono wa kushoto kwa asilimia 80% kuliko mkono wa kulia, nazipenda mno hizi gari........