Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Be My Wife BMW my goals[emoji8]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nipe akili. Hela mnapataje mkuu? Mi najiona nimekwamanataka nichukue BMW ya moto zaidi ya hii mkuu
njoo pm ushuhudie Beemer X5unayo nikupe namba?
ndo ipi tena mkuu?N
njoo pm ushuhudie Beemer X5
BMW X5 hyo hapondo ipi tena mkuu?
BMW X5 hyo hapo
Ukifika niambie!Bahati imemdondokea mwenzio, ukiwa na BMW wala hutumii nguvu kuongea hasa sie tuliokuwa na mahaba na magari na si usafiri....
Nina mpango wa kufika huko mwisho wa mwaka huu napapenda sana pale irente pametulia.
Ukifika niambie!
Hata kwa bajaji tu tunaenda!!
Nimeshaendesha mkuu sana tu ikiwemo jaguar XE ni nzuri sana ndani ila mimi na salon cars hapana huwa naona yote ni taxi tu napenda gari unapanda kwa juu sio unaingia chini kaa uvunguniu
mewahi endesha hili gari mkuu
kasinde umepandishwa wapi leo?Kuna X6 ungeipata hiyoo ndo mwisho wa reli hadi hapo watakapotoa X7
kasinde umepandishwa wapi leo?
kasie naomba lift shost wangu
wewe ni noma ni wewe umenunua au ni nguvu ya sponsor?Cheki hapo chini.... ni mwendo wa X6 tuu fyuuuuuu
kasie naomba lift shost wangu
wewe ni noma ni wewe umenunua au ni nguvu ya sponsor?
poa poaUsijali shosti..... town trip hata up country utapata lifti. Jiandae kuanzia Dec 10 ndo naanza likizo ya matanuzi. ... stay alert!!
ahahaa kweli hapana chezea dady ake .hana nafasi ingine kwa my heart?Matusi ya dadii hayoo, hapana chezea yeye🙂 🙂