dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Mkuu tupiako tu picha twa ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie picha za ndani kwa cm 0756060183
Model: 320i
Mwaka: 2002
Speed: 240
Petrol - 1990cc
Imetembelewa: 102,000 Km
Automatic / Manual.- 6 - gears
TRA- Valid - Dec 27/2016
Insuarance - Compensive Dec/2016
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Ipo Dar Es Salaam , Kigamboni
simu namba +255 718 295 182
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Ni mwaka mmoja toka niagize toka japan, sasa nauza kwa sababu nataka kubadrisha usafiri. aliye siriazi tunaongeakaribu
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Bango
View attachment 418100 View attachment 418087 View attachment 418088 View attachment 418097 View attachment 418099 View attachment 418100
Kabla ya magu watu walikuwa hauzi mkuu? Unataka kuniambia hili jukwaa limeanzishwa kipindi hiki?Magu noma mtauza mpaka magodoro mwaka huu. Hakuna vya bwerere
Utashikwa papuchii wewee hukipendi nini watu wana mitango imetulizana tu na congo dry tutazinywa kwa ajili yakowewe frank wewe ukiwa na bmw natembea uchi majukwaa yote humu jf
mkuu nimeweka picha za ndaniNitumie picha za ndani kwa cm 0756060183
kila kitu magu !tushindwe kuuza na kununua?Magu noma mtauza mpaka magodoro mwaka huu. Hakuna vya bwerere
hahah mkuu boxer nimeuza na hii BMW nauza nataka kununua msumeno hatari sana!Bango jeupe kwani ile hela ya boxer ilishaisha!?
umeongea point mkuu nimekupa Like!Kabla ya magu watu walikuwa hauzi mkuu? Unataka kuniambia hili jukwaa limeanzishwa kipindi hiki?
nimeweka ona sasa vionjo vyake vya ndani ,ni hatari sana ukikaa hapo mkuu, utatamani wakuwekee na choo humohumo!Mkuu tupiako tu picha twa ndani
Mkuu ukiona bado hujapata mteja naomba usinisahau kunichek nikupatie 10ml fastanimeweka ona sasa vionjo vyake vya ndani ,ni hatari sana ukikaa hapo mkuu, utatamani wakuwekee na choo humohumo!
Na Lushoto now days watu wako fresh kiuchumi ni jana tu nimetoka huko nikakuta watu wanatembelea Alteza, Mark X, Brevis etc nikashangaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]Tumalizane hapa hapa bana, nina mwaka sasa sijaenda Lushoto, waonaje tukifanya safari ya huko? Na zile kona kona wallah tukifika ushamaliza kila kitu.... heheheheh
Na Lushoto now days watu wako fresh kiuchumi ni jana tu nimetoka huko nikakuta watu wanatembelea Alteza, Mark X, Brevis etc nikashangaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]