BMW X1 imejilock haikubali ku-respond chochote

BMW X1 imejilock haikubali ku-respond chochote

pole sana chief, hata mimi nilipata hio shida kwenye bentley continental yangu namba B ile ya namba D haijawahi sumbua kabisa ila fundi wangu Hudson Kutoka Bentley South Africa aliniokoa. View attachment 2787026
Pole sana haya magari watu wanapenda kutuona nayo tu ila ni gharama sana kuyamiliki hii gari yangu nyingine mercedes maybach s-class kumwaga tu oil namsubiri fundi mwezi wa 3 huu yuko vacation dubai
20c0535_177.jpg
 
Mkuu ninayo yard sipendelei sana kuitumia sababu ipo chini (inatabia ya kuatamia barabara). naitoa kwa bei ya hasara. What's your offer?
three paundi mkuu 3£. Au nikupe ofa kwa uro? Dola imekuwa adimu.
 
Mkuu ninayo yard sipendelei sana kuitumia sababu ipo chini (inatabia ya kuatamia barabara). naitoa kwa bei ya hasara. What's your offer?
Ahaa nikuwekee $350,000 mida ya Lunch kama hutojali, nipatie tu account number yako mkuu
 
Pole sana haya magari watu wanapenda kutuona nayo tu ila ni gharama sana kuyamiliki hii gari yangu nyingine mercedes maybach s-class kumwaga tu oil namsubiri fundi mwezi wa 3 huu yuko vacation dubai
View attachment 2787061
Aah halafu hii ni ile latest model kabisa. Namuonaga jirani yangu hapa yule mtoto wa Bhakresa anatoka nayo mara moja kwa week kila Jumatatu. Anabadilisha gari kila siku sema ungekuwa unatumia ile G63 naona mafundi wake ni wengi zaidi.
 
Nunua mkuu, mafundi kibao wapo states pale. Likizima kwenye mataa ya ubungo piga simu paris ufaransa wapo fasta sana. Tusikariri toyota.
Kuna mwamba ameipaki uwani tu amenipa offer nataka aki confirm nimuwekee hio hela mchana huu.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Kwema wakuu, gari tajwa hapo juu imejilock, mara yamwisho kuitumia ni juzi ilikuwa fresh tu, jana wakati nataka kuondoka ikawasha taa ya engine hivyo nikaona nisitumie maana sijui tatizo, leo niko free nilitaka niipeleke garage sasa ninacho ona ni kwamba imejilock.

Milango haifunguki, nikijaribu ku unlock inawasha indicators tu na haifungui, issue inaweza kuwa nini?
Pole....ilinitokea hii kwa Ford.....niliita mafundi wa kila aina......mwishowe ilibidi nibadili engine.....All the best
 
IMG_4490.jpg

Asee hili tatzo bado sijasolve kene Bently yangu nipo namsubiri nje juani JituMirabaminne aje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]
 
Back
Top Bottom