Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Nunua mkuu, mafundi kibao wapo states pale. Likizima kwenye mataa ya ubungo piga simu paris ufaransa wapo fasta sana. Tusikariri toyota.Asee basi ntaagiza Chiron mwez December kama zawadi yangu ya Xmas