Nunua mkuu, mafundi kibao wapo states pale. Likizima kwenye mataa ya ubungo piga simu paris ufaransa wapo fasta sana. Tusikariri toyota.Asee basi ntaagiza Chiron mwez December kama zawadi yangu ya Xmas
Mkuu ninayo yard sipendelei sana kuitumia sababu ipo chini (inatabia ya kuatamia barabara). naitoa kwa bei ya hasara. What's your offer?Asee basi ntaagiza Chiron mwez December kama zawadi yangu ya Xmas
Pole sana haya magari watu wanapenda kutuona nayo tu ila ni gharama sana kuyamiliki hii gari yangu nyingine mercedes maybach s-class kumwaga tu oil namsubiri fundi mwezi wa 3 huu yuko vacation dubaipole sana chief, hata mimi nilipata hio shida kwenye bentley continental yangu namba B ile ya namba D haijawahi sumbua kabisa ila fundi wangu Hudson Kutoka Bentley South Africa aliniokoa. View attachment 2787026
Mweeh 😂😂😂 Yaani JFTatizo kama hilo lilitokea kwenye GMC yangu ilibidi niite fundi kutoka Nairobi.
Specimen.
View attachment 2785097
three paundi mkuu 3£. Au nikupe ofa kwa uro? Dola imekuwa adimu.Mkuu ninayo yard sipendelei sana kuitumia sababu ipo chini (inatabia ya kuatamia barabara). naitoa kwa bei ya hasara. What's your offer?
Ahaa nikuwekee $350,000 mida ya Lunch kama hutojali, nipatie tu account number yako mkuuMkuu ninayo yard sipendelei sana kuitumia sababu ipo chini (inatabia ya kuatamia barabara). naitoa kwa bei ya hasara. What's your offer?
Aah halafu hii ni ile latest model kabisa. Namuonaga jirani yangu hapa yule mtoto wa Bhakresa anatoka nayo mara moja kwa week kila Jumatatu. Anabadilisha gari kila siku sema ungekuwa unatumia ile G63 naona mafundi wake ni wengi zaidi.Pole sana haya magari watu wanapenda kutuona nayo tu ila ni gharama sana kuyamiliki hii gari yangu nyingine mercedes maybach s-class kumwaga tu oil namsubiri fundi mwezi wa 3 huu yuko vacation dubai
View attachment 2787061
Kuna mwamba ameipaki uwani tu amenipa offer nataka aki confirm nimuwekee hio hela mchana huu.Nunua mkuu, mafundi kibao wapo states pale. Likizima kwenye mataa ya ubungo piga simu paris ufaransa wapo fasta sana. Tusikariri toyota.
tena umwambie tair moja ya buggat divo unanunua bmw 22 ist kijiji kizima unawanunulia hiyo tairi moja tuKawaida mkuu. Tatizo lenu mmekariri toyota. Mbona fresh tu buggati.
HahahaKuna mwamba ameipaki uwani tu amenipa offer nataka aki confirm nimuwekee hio hela mchana huu.
Aisee kumbe uko juu hivi naomba nije nikalioneTatizo kama hilo lilitokea kwenye GMC yangu ilibidi niite fundi kutoka Nairobi.
Specimen.
View attachment 2785097
Njoo nikuonyeshe lakini itabidi uingie chumbani kwanza ukachukue ufunguo mwenyewe ili uaminiAisee kumbe uko juu hivi naomba nije nikalione
Pole....ilinitokea hii kwa Ford.....niliita mafundi wa kila aina......mwishowe ilibidi nibadili engine.....All the bestKwema wakuu, gari tajwa hapo juu imejilock, mara yamwisho kuitumia ni juzi ilikuwa fresh tu, jana wakati nataka kuondoka ikawasha taa ya engine hivyo nikaona nisitumie maana sijui tatizo, leo niko free nilitaka niipeleke garage sasa ninacho ona ni kwamba imejilock.
Milango haifunguki, nikijaribu ku unlock inawasha indicators tu na haifungui, issue inaweza kuwa nini?
Sasa hayo ni mengineNjoo nikuonyeshe lakini itabidi uingie chumbani kwanza ukachukue ufunguo mwenyewe ili uamini
Lakin yako ndani ya uwezo wakoSasa hayo ni mengine
Ulisema mie dumeLakin yako ndani ya uwezo wako
Nimesahau mbona mi sijawahi kusemaUlisema mie dume