Inategemea na tolerance ya mtu binafsi kubadili badili vitu vikikongoroka kila mara nje ya scheduled services.Hiyo peke yake sidhani kama inatosha kusema inasumbua labda useme kama ukifunga kifaa ulichobadili kinalufa tena ndani ya muda mfupi. I stand to be corrected tho kwa sababu una uzoefu nazo.
Kaka kila mtu ana 'lane' yake[emoji16]Hahahaaaa, mikoko mingi ni baby walker. Wenye mikoko kiwango huwezi kuwaona hapo.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo fake.Water pump tu BMW laki 4
Kodi ya Brand new unazijua. Ikiwa tu Ford Ranger used mnataka 45m hiyo Bimmer brand new huchelew kuambiwa 100m+ TZSSidhani kama mdau hapo juu ameuliza kuhusu specific year.
Ndio maana nimemshauri kama anataka kununua bimmer X5 then ajitahidi atafute brand new ama used iliotembea km chache.
Nimeshauri brand new Au iliyotembea km chache. Bmw ni luxury car sasa kama unanunua kwa pesa za kubahatisha utalia na kusaga meno ikianza kusumbua.Kodi ya Brand new unazijua. Ikiwa tu Ford Ranger used mnataka 45m hiyo Bimmer brand new huchelew kuambiwa 100m+ TZS
Kaka kwema? Uliishia wapi tena? Tulisubiri sana nondo za hii chuma ila ukatokomea kusikojulikana, nini kimekusibu? π πNatamani nimwage nondo za hii gari i la nitaufunga mapema uzi wako acha watu watiririke kwanza
Kaka kwema? Uliishia wapi tena? Tulisubiri sana nondo za hii chuma ila ukatokomea kusikojulikana, nini kimekusibu? π π aNatamani nimwage nondo za hii gari i la nitaufunga mapema uzi wako acha watu watiririke kwanza
Majanga, gari imekaa garageKaka kwema? Uliishia wapi tena? Tulisubiri sana nondo za hii chuma ila ukatokomea kusikojulikana, nini kimekusibu? π π
Kivipi kaka?Majanga, gari imekaa garage
We jamaaππWater pump tu BMW laki 4