Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Acha wakaze majuto ni mjukuu. Kuna jamaa yangu aliingiza VW baada ya wiki gia zikagoma kuchange tulishinda geteji siku mbili mfululizo; sijui saa hizi huko aliko Ina gali gani maana niliacha bado anahangaika nayoUkiwaambia wanakaza fuvu. Hiyo 100k mbali sana
Mkuu kuna link nimetuma hapo juu, hata huko zinapotoka wanalia tu kabla hazijafika hiyo 100K. Na ukipeleka kwa dealer gharama ipo juu, unless ni recall kutoka kwa watengnezaji, hapo warrant inakusaidia. Tofauti na hapo maumivu yapo juu sanaHizi gari gharama ya maintenance inakuja kwa sababu mtu ananunua ya zamani sana ishatembea sana.
Mimi nimeendesha X3, ilivyokaribia kufika 100,000 miles nikaitosa na kuchukua X5. Nayo ikikaribbia 100,000 miles nitaitosa sijaamua kuendelea na BMW au kuchukua Porsche Macan.
Ukishakaribia 100,000 miles, kutegemea na service unavyofanya au usivyofanya vizuri, unaweza kuona gari inaanza kukuletea mauzauza, especially kwenye barabara za kibongo.
Anangalie mwaka na grade ya gari - gari zenye 5.0 and above nyingi zimenyooka sana, na nyingi zinakuwa chini ya 40,000km na hata miaka unakuta 2013 na kuendelea, ila kipengele kwa uchumi wa watu wengi tanzania gari zikianzia $ 30,000 inakuwa tafrani sana.. chini kama atachukua moja wapi hapo.. haya makelele ya usumbufu hato yasikiaHizi gari ikifika 100k ndio utajua hujui
Mimi nimemjibu kama alivyouliza !Hio Bei uliyomuwekea kwani Umejua anataka X5 ipi(E53,E70,F15) au Touareg ipi (7L,7P,CR)?
Sijui kama umeelewa nilichokizungumzia hapa? Hizi gari hata kama no ya 2020 ikisha gonga 100k miles uiogope; ndio maama asilimia kubwa silikaribia hiyo mileage zinashuka bei sana.Anangalie mwaka na grade ya gari - gari zenye 5.0 and above nyingi zimenyooka sana, na nyingi zinakuwa chini ya 40,000km na hata miaka unakuta 2013 na kuendelea, ila kipengele kwa uchumi wa watu wengi tanzania gari zikianzia $ 30,000 inakuwa tafrani sana.. chini kama atachukua moja wapi hapo.. haya makelele ya usumbufu hato yasikiaView attachment 2322786View attachment 2322787
TouaregWakuu nafikiria kuchukua mojawapo kati ya gari tajwa hapo juu wazoefu ipi inafaa zaidi
Sijakataa ulichosema. Na hata gari nilizo post ni chini ya 40k , kitu ambacho wengi wana chemka kwenye ku afford gharama za manunuziSijui kama umeelewa nilichokizungumzia hapa? Hizi gari hata kama no ya 2020 ikisha gonga 100k miles uiogope; ndio maama asilimia kubwa silikaribia hiyo mileage zinashuka bei sana.
That is not my experience.Mkuu kuna link nimetuma hapo juu, hata huko zinapotoka wanalia tu kabla hazijafika hiyo 100K. Na ukipeleka kwa dealer gharama ipo juu, unless ni recall kutoka kwa watengnezaji, hapo warrant inakusaidia. Tofauti na hapo maumivu yapo juu sana
Mkuu hebu weka huo mkeka tuoneHazifiki 2006
Hebu acheni kutisha watu. Mbona Nina VW ya kawaida kabisa nilichukua ina 65,000km sasa hivi ina 110,000km na bado iko perfect. Wenzangu wengi wanazo zina over 160kUkiwaambia wanakaza fuvu. Hiyo 100k mbali sana
Tunataka watu wanao elewa mambo namna hii sasaKwa uzoefu wangu..chukua E53..tafuta facelifted ya around 2005..
Engine tafuta petrol M54 au diesel M57 kwa misele ya kila siku..
Kama unataka performance zaidi sogea kwa petrol M62..
Hiyo gari ni nzito..kwahiyo petrol itakuwa inabugia kweli kweli..ila handling,comfortability imetulia..
Nimepanda ya "lifti" jana asee kwenye vijimashimo uchwara inakuwa kama inacheza ndombolo ya solo(iliyo imbwa na saida karoli) yaani inakubembeleza hivi. Halafu mziki ndani umechujaaa huku kiyoyozi kikifanya kazi yake. Nafasi ya kutosha ndani na options nyingi kuanzia mlangoni hadi nyuma ya usukani dahKweli kila MTU anakuwa anapenda kitu Fulani maana Mimi nikipishana na Volkswagen tourage huwa napunguza mwendo ili niichek vizuri hiyo chuma ni 8 speed transmission alafu ni DSG(direct shift transmission).
Kuanzia maporini Hadi mjini hii mashine iko vizuri sana,hii gari ndiyo gari ya ndoto zangu
Sawa mkuu.. Kama huko yanapolazalishwa wanalalamika ila bongo huku tunaonunua used wengine wapo matawi zaidi yao basi tujipe pongezi.That is not my experience.
But then again, inawezekana watu wengine wanalazimisha kuwa na BMW wakati hawajafikia matawi hayo.
Hebu acheni kutisha watu. Mbona Nina VW ya kawaida kabisa nilichukua ina 65,000km sasa hivi ina 110,000km na bado iko perfect. Wenzangu wengi wanazo zina over 160k
Hiyo tiguan itakuwaNadhani Zote sawa, japo nimesekia kwamba, X5 nyingi ni changamoto sana.
Pia hata bei yake haitofautiani sana.
Zote zina range from 24mil pamoja na usajili
Hizo kuanzia 2015 X5 ni chuma kimesimama sana dude kubwa kama X7 yani kama nyatiKama unaweza chukua X5 au Touareg ya kuanzia 2015 na kuendelea. Kama huwezi achana nazo.
Hivi hizo gari zipo Tanzania pekee au vipi mbona Ulaya. Huku Ujerumani hamna mtu analia hayo machozi ya 100k. Wabongo ni kukimbia service. Gari sio bahari useme inajitegemezaSijui kama umeelewa nilichokizungumzia hapa? Hizi gari hata kama no ya 2020 ikisha gonga 100k miles uiogope; ndio maama asilimia kubwa silikaribia hiyo mileage zinashuka bei sana.