Yaani Wabongo ni wavivu sana, upo kwenye mtandao halafu unashindwa kuperuzi Samsung H6400 ina kioo cha ukubwa gani unakalia kupost tu!
Haya basi Samsung H6400 Series 6 ni 48".
48inch ndugu
Lingekuwa ni swali, watu wangecheki kwenye mtandao...Lakini ni biashara, ukitangaza maliza kila kitu. Hii ni TIP kutoka wangu. Take it...
Samsung led smart 3D TV 50inch series 6 Full HD
Duh yani kweli unaweza ukashangaa TV kuuzwa 2mil na wakati kuna mpaka za 10mil na kuendelea. Wewe kama unaifahamu vizuri hiyo TV ulitaka uinunue kwa sh ngapi?? Fanya research kabla ya kuongeaMkuu milion mbili kwa skrini????
Duh yani kweli unaweza ukashangaa TV kuuzwa 2mil na wakati kuna mpaka za 10mil na kuendelea. Wewe kama unaifahamu vizuri hiyo TV ulitaka uinunue kwa sh ngapi?? Fanya research kabla ya kuongea
Uko wapi