Boarding Schools 1970s-2000: Kambi za watu katili, wanaopenda masomo, mateso, ukakamavu, walokole na wazinzi

mkuu nikajua huyu ni mwanaume kumbe demu?
 
piga cm kwa wazazi wako huku unachungulia tundu la choo ,zamani ujinga hatutaki
 
Ni demu ila ni kama kachanganyikiwa flan hivi baada ya kutoswa na jamaa yangu ommy. So siku hizi anadandia dandia wanaume na hajielew... Smetme anajifanya ye mwanaume ili sijui iweje kwenye posts zake.

mkuu nikajua huyu ni mwanaume kumbe demu?
 
Ni demu ila ni kama kachanganyikiwa flan hivi baada ya kutoswa na jamaa yangu ommy. So siku hizi anadandia dandia wanaume na hajielew... Smetme anajifanya ye mwanaume ili sijui iweje kwenye posts zake.
Weka ushahidi kama ni ke.
Pamoja na yote hii hadithi ni kweli watu walio pitia wanayaelewa na bila ya kigugumizi kaandika vizuri
 
Ni demu ila ni kama kachanganyikiwa flan hivi baada ya kutoswa na jamaa yangu ommy. So siku hizi anadandia dandia wanaume na hajielew... Smetme anajifanya ye mwanaume ili sijui iweje kwenye posts zake.
msamehe bure mkuu,vibuti sio vya mchezo
 
Namfaham ningekuwa naruhusiwa ningeweka picha. But namfaham na ukisoma posts zake nyingi ingawa kwa id hii hujifanya mwanaume zipo nyingine ndo ana behave kama mwanaume.

Weka ushahidi kama ni ke.
Pamoja na yote hii hadithi ni kweli watu walio pitia wanayaelewa na bila ya kigugumizi kaandika vizuri
 
Simulizi imekaa vizuri. Sisi wa Day hizi story tulikuwa tunaletewa na wenzetu wa boarding nyakati za likizo!
 
Aisee.
 
Siku hizi wanasoma watoto hata harufu ya maziwa haijawatoka sio sekondari tu hata baadhi ya vyuo wanapelekwa pelekwa .
 
Maisha magumu nilikumbana nayo Geita Secondary School. Siku moja ambayo maninja walinichapa kwa nyaya kitandani. Mmoja nikamfahamu na nikaripoti kwa baunsa mmoja ambaye nilitokea kumheshimu na yeye kunichukulia kama ndugu. Asubuhi akanipitisha kila bweni nimtambue maana ilikuwa jumapili. Mungu mkubwa akatokea anatoka kuoga bafuni, alipigwa gwala akadodokea sakafu, nikapewa fimbo mbili kwa sharti hadi ziishe akataja aliyekuwa amewatuma (kuwakodi), alipoletwa nikamtambua jamaa aliniomba nimpe hela nikagoma..............
Wengi wa hayo matendo nilikuja kujua walikuwa ni wale wasio na akili darasani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…