Black fire
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 755
- 1,321
Nme_subscribe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadithi tamu. Watu mnajua sana fasihi. Ila umesahau kidogo kuonyesha uhalisia wa matukio. 70's na taa za sola duu. Afu ganja ts.100 ktumbua tsh5
mwaka gani pale mkuu nimepita pale piaSalamanda kukatwa mikia inanikumbusha Ifunda Technical
Don't panic mkuu. BTW Hii story ikitungiwa movie itauza sanasikujua kama hili lingeweza kuwa tatizo kwako kueleweka nliona jinsi nlivyoandika humu wengi wana elimu wangeelewa kumbe nlisahau watu wengine kama wewe . ngoja nikufafanulie nlikuwa nadhani wote wana uelewa unaofanana. mtu anaposema 1970s mpaka 2000 maana yake ni ndani ya miaka hyo. nimezungumzia kwanza shule za boarding kwa ujumla miaka hiyo. then nikaenda kwenye shule nliyosoma mimi ambayo sijataja mwaka.ukinionesha nlipotaja mwaka ntaomba msamaha kwa kudanganya ikiwa utaniona hivyo.otherwise nadhan nimekusaidia kufaham kitu kidogo leo. na ukiona mtu ameandika 1780s maana yake ni miaka ya themanini. chukua hii toka kwangu. karibu sana.
Bwashee umenielewa lakini??? Ntakukata mkia sasa hivi ohooo [emoji15] [emoji15]Wacha upuuzi aisee..una tag uzi wote huo ili iweje..kwani huwezi comment tu ukaonekana....shwain
Maisha yangu haya shule moja mbeyaNimesoma form 1 hadi form 4 nina uhakika wa 100% hakuna mtu yeyote darasani na shuleni aliyekua ananijua jina kamili, hatukua na utaratibu wa daftari la mahudhurio. Nilikua kama ghost vile, sichezi mpira, siendi vipindi vya dini, sikua member wa club yoyote, sikamatwi kwenye makosa ya kijinga kijinga, j2 siendi church, sipatikani darasani na tukirudi likizo navuta karibu mwezi mzima wa ziada nyumbani. Nili enjoy life la kuwa anonymous. Hakuna aliyekua na time na mimi, siku ya mahafari jina langu linaitwa nikachukue zawadi wanadarasa wanashangaa walikua hawalijui jina langu kabisa.
mwaka gani pale mkuu nimepita pale pia
Umenikumbusha mbali sana KIPOKE SECONDARY.yalikuwa ndo maisha ya shuleBila shaka huyo wazir ni mwigulu!!!!!
Miji2 mingine bhn....si kaandika hapo miaka ya 70-2000 bhn...na hajataja mwaka gan ye kasoma...Solar miaka ya 70 asante
Lakini umenikumbusha maisha ya shule
70's ndio miaka niliyo soma sec
Miji2 mingine bhn....si kaandika hapo miaka ya 70-2000 bhn...na hajataja mwaka gan ye kasoma...
Kwan solar zmevumbuliwa lin mkuu, 2anzie hapo unitoe tongotongo...
Na kama unaona umeptshwa chaka c lazma ukoment unapta kushoto 2, majukwaa mob asee.
2ache 2lovutika na uzi 2endelee.