Boarding Schools 1970s-2000: Kambi za watu katili, wanaopenda masomo, mateso, ukakamavu, walokole na wazinzi

Naona umejifanya "Stering wa picha" , wewe ndio ulikuwa mjanja na wenzako wajinga, umehadithia wenzio walivyodhalilishwa huku ukificha yaliyokukuta
Hata uwe mjanja lazima ugongwe siku Moja anyway jamaa kasimulia vizuri na hawezi kujisimulia negatively mwenyewe
 
Hiyo shule inayozungumzwa hapo ni Tosamaganga iliyopo Iringa
 
Eeeheee endeleza uzi
 
Unaweza kuwa mwanafunzi wangu ingawa sijafundisha darasa lenu,unaweza kuwa darasa la akina Tumaini Makene,vipi Mr Mahushi bado yupo hapo Geseco?
 
Huyu Sungusungu alikuwa nani? Basi itakuwa juzi juzi hapa, mimi nimepita pale enzi za akina Ngussa, akaja Shima second master akiwa Shikome (huyu nimesahau jina la utani tulikuwa tunamwita nani?)
 
Mkuu nashukuru maana nikiwa nimepumzika napitia kisa chako hapa. Nataman nami nije nitoe kisa changu. Mateso ambayo umesimulia nmewah shuhudia nami miaka yangu. Boarding ilikuwa kama jeshini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…