Bob Chacha Wangwe naye atema ya moyoni, aungana na Lissu, japo mbowe ndiye rafikiye mkubwa!

Bob Chacha Wangwe naye atema ya moyoni, aungana na Lissu, japo mbowe ndiye rafikiye mkubwa!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Kwa Watanzania na Wanamageuzi wenye mapenzi mema na CHADEMA na Taifa letu. Kwa vijana wanaotamani kufanya siasa za Upinzani kwa miongo kadhaa ijayo. Lissu is the way! Hawezi kuwa mkamilifu kama Binadamu, lakini ana sifa muhimu kwa maslahi ya CHADEMA na Taifa. Kwa kizazi hiki watu wa aina yake ni wachache sana. Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema, haiwezi kuwa habari njema kwa Watawala. Huyu ndiye mtu sahihi.

Tutakuwa na wakati mgumu sana katika kufanya siasa kama atashinda mtu mwingine zaidi ya Lissu. Mfano, ikitokea Mhe Mbowe ametetea kiti chake, kule Bungeni kesho kutwa kina Kibajaji wakipeleka Muswada wa kuondoa ukomo wa Urais tutakuwa na hoja gani za kutetea ukomo? Zipo hoja nyingi ambazo tutakosa uhalali wa kuzisemea. Tuwaunge mkono tunaowapenda lakini tufikirie pia uendelevu wa chama (sustainability) baada ya Uchaguzi.

Natambua uwezo na mchango mkubwa wa Mhe. Mbowe na nikiri tu tumekuwa na ukaribu kuliko ukaribu wangu na Mhe. Lissu lakini kwa maslahi mapana ya Chama ambacho amekijenga kwa gharama kubwa, naona Lissu anatosha kabisa kumpokea kijiti cha Uenyekiti hasa kwa wakati huu ambao tuko kwenye matatizo makubwa ya Kidemokrasia. Morali za watu wetu iko chini hasa baada ya kuumizwa na mifumo ya Uchaguzi. Kwa mazingira haya, mabadiliko ni muhimu ili kuirejesha.

Lissu akishinda tutakuwa na timu kamili (Mwenyekiti Mbowe atabaki kuwa Mzee wa Chama mjumbe wa kudumu wa Kamati kuu ya Chama). Hivyo, bado atakuwa na nafasi ya kujenga Chama. Waliorudi nyuma kisiasa naamini watarudi kazini na wasioitakia mema CHADEMA wataona aibu sana.
Habari ya kuwa ‘neutral’ ni unafiki! Mimi niko na Lissu! Tufanye kampeni za Kistaarabu wote hawa ni viongozi wetu ili tuendelee kutoa somo kuwa chama chetu ni cha Kidemokrasia.
FB_IMG_17350909269906712.jpg
 
ulisemalo ni kwel kabisa ila sidhani kama mama duli na team yake wataruhusu lissu ashike uenyekiti kwani ni ukwel usiopingika kuwa atawalaza na viatu.
Nina mashaka sana juu ya uchaguzi huu kuingiliwa na CCM.
Wana maslahi mapana sana na bwana mbowe! (Tutakupa kila utakalo stay mild katika siasa zenu)
 
Kwa Watanzania na Wanamageuzi wenye mapenzi mema na CHADEMA na Taifa letu. Kwa vijana wanaotamani kufanya siasa za Upinzani kwa miongo kadhaa ijayo. Lissu is the way! Hawezi kuwa mkamilifu kama Binadamu, lakini ana sifa muhimu kwa maslahi ya CHADEMA na Taifa. Kwa kizazi hiki watu wa aina yake ni wachache sana. Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema, haiwezi kuwa habari njema kwa Watawala. Huyu ndiye mtu sahihi.

Tutakuwa na wakati mgumu sana katika kufanya siasa kama atashinda mtu mwingine zaidi ya Lissu. Mfano, ikitokea Mhe Mbowe ametetea kiti chake, kule Bungeni kesho kutwa kina Kibajaji wakipeleka Muswada wa kuondoa ukomo wa Urais tutakuwa na hoja gani za kutetea ukomo? Zipo hoja nyingi ambazo tutakosa uhalali wa kuzisemea. Tuwaunge mkono tunaowapenda lakini tufikirie pia uendelevu wa chama (sustainability) baada ya Uchaguzi.

Natambua uwezo na mchango mkubwa wa Mhe. Mbowe na nikiri tu tumekuwa na ukaribu kuliko ukaribu wangu na Mhe. Lissu lakini kwa maslahi mapana ya Chama ambacho amekijenga kwa gharama kubwa, naona Lissu anatosha kabisa kumpokea kijiti cha Uenyekiti hasa kwa wakati huu ambao tuko kwenye matatizo makubwa ya Kidemokrasia. Morali za watu wetu iko chini hasa baada ya kuumizwa na mifumo ya Uchaguzi. Kwa mazingira haya, mabadiliko ni muhimu ili kuirejesha.

Lissu akishinda tutakuwa na timu kamili (Mwenyekiti Mbowe atabaki kuwa Mzee wa Chama mjumbe wa kudumu wa Kamati kuu ya Chama). Hivyo, bado atakuwa na nafasi ya kujenga Chama. Waliorudi nyuma kisiasa naamini watarudi kazini na wasioitakia mema CHADEMA wataona aibu sana.
Habari ya kuwa ‘neutral’ ni unafiki! Mimi niko na Lissu! Tufanye kampeni za Kistaarabu wote hawa ni viongozi wetu ili tuendelee kutoa somo kuwa chama chetu ni cha Kidemokrasia.
View attachment 3184410
Friends ladies and gentlemen,
Chama Cha siasa kinafaa kuongozwa na viongozi wenye mipango mikakati na maono na sio mdomo na makelele mingi...

chadema chagueni patriot Mbowe na mumkatae Puppet Lisu kwa nguvu zote 🐒
 
Chadema kumchagua mbowe tena itaharibu kabisa sifa ya chadema kua chama cha kutetea mabadiliko ya katiba ama ya kimfumo nchini.

Mwakani Kibajaji wanaweza kwenda Bungeni kubadilisha katiba Samia atawale milele, hakuna atakaepinga, Kibajaji mwakani wanaweza kupendekeza kubadilisha katiba ya kuondoa ukomo wa uongozi, chadema hawatakua na moral authority ya kupinga.

Kwa ubinafsi wa Mbowe, uchaguzi huu utakua na far reaching consequences kwa miaka mingi sana ijayo, pale walipopiga hatua watarudi nyuma hatua nyingi sana. Ila kwa kua Mbowe shida yake ni ruzuku, hilo hawezi kuliona, yeye anachotaka ni ruzuku tu.
 
Kwa Watanzania na Wanamageuzi wenye mapenzi mema na CHADEMA na Taifa letu. Kwa vijana wanaotamani kufanya siasa za Upinzani kwa miongo kadhaa ijayo. Lissu is the way! Hawezi kuwa mkamilifu kama Binadamu, lakini ana sifa muhimu kwa maslahi ya CHADEMA na Taifa. Kwa kizazi hiki watu wa aina yake ni wachache sana. Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema, haiwezi kuwa habari njema kwa Watawala. Huyu ndiye mtu sahihi.

Tutakuwa na wakati mgumu sana katika kufanya siasa kama atashinda mtu mwingine zaidi ya Lissu. Mfano, ikitokea Mhe Mbowe ametetea kiti chake, kule Bungeni kesho kutwa kina Kibajaji wakipeleka Muswada wa kuondoa ukomo wa Urais tutakuwa na hoja gani za kutetea ukomo? Zipo hoja nyingi ambazo tutakosa uhalali wa kuzisemea. Tuwaunge mkono tunaowapenda lakini tufikirie pia uendelevu wa chama (sustainability) baada ya Uchaguzi.

Natambua uwezo na mchango mkubwa wa Mhe. Mbowe na nikiri tu tumekuwa na ukaribu kuliko ukaribu wangu na Mhe. Lissu lakini kwa maslahi mapana ya Chama ambacho amekijenga kwa gharama kubwa, naona Lissu anatosha kabisa kumpokea kijiti cha Uenyekiti hasa kwa wakati huu ambao tuko kwenye matatizo makubwa ya Kidemokrasia. Morali za watu wetu iko chini hasa baada ya kuumizwa na mifumo ya Uchaguzi. Kwa mazingira haya, mabadiliko ni muhimu ili kuirejesha.

Lissu akishinda tutakuwa na timu kamili (Mwenyekiti Mbowe atabaki kuwa Mzee wa Chama mjumbe wa kudumu wa Kamati kuu ya Chama). Hivyo, bado atakuwa na nafasi ya kujenga Chama. Waliorudi nyuma kisiasa naamini watarudi kazini na wasioitakia mema CHADEMA wataona aibu sana.
Habari ya kuwa ‘neutral’ ni unafiki! Mimi niko na Lissu! Tufanye kampeni za Kistaarabu wote hawa ni viongozi wetu ili tuendelee kutoa somo kuwa chama chetu ni cha Kidemokrasia.
View attachment 3184410
Kama unaipenda chadema Toka ndani ni kwenda na lissu kwa sasa, nje ya hapo ni uwongo.Mbowe akishinda uwenyekiti, Mwakani chadema Italia peke yake wakati wa uchaguzi mkuu
 
Kwa Watanzania na Wanamageuzi wenye mapenzi mema na CHADEMA na Taifa letu. Kwa vijana wanaotamani kufanya siasa za Upinzani kwa miongo kadhaa ijayo. Lissu is the way! Hawezi kuwa mkamilifu kama Binadamu, lakini ana sifa muhimu kwa maslahi ya CHADEMA na Taifa. Kwa kizazi hiki watu wa aina yake ni wachache sana. Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema, haiwezi kuwa habari njema kwa Watawala. Huyu ndiye mtu sahihi.

Tutakuwa na wakati mgumu sana katika kufanya siasa kama atashinda mtu mwingine zaidi ya Lissu. Mfano, ikitokea Mhe Mbowe ametetea kiti chake, kule Bungeni kesho kutwa kina Kibajaji wakipeleka Muswada wa kuondoa ukomo wa Urais tutakuwa na hoja gani za kutetea ukomo? Zipo hoja nyingi ambazo tutakosa uhalali wa kuzisemea. Tuwaunge mkono tunaowapenda lakini tufikirie pia uendelevu wa chama (sustainability) baada ya Uchaguzi.

Natambua uwezo na mchango mkubwa wa Mhe. Mbowe na nikiri tu tumekuwa na ukaribu kuliko ukaribu wangu na Mhe. Lissu lakini kwa maslahi mapana ya Chama ambacho amekijenga kwa gharama kubwa, naona Lissu anatosha kabisa kumpokea kijiti cha Uenyekiti hasa kwa wakati huu ambao tuko kwenye matatizo makubwa ya Kidemokrasia. Morali za watu wetu iko chini hasa baada ya kuumizwa na mifumo ya Uchaguzi. Kwa mazingira haya, mabadiliko ni muhimu ili kuirejesha.

Lissu akishinda tutakuwa na timu kamili (Mwenyekiti Mbowe atabaki kuwa Mzee wa Chama mjumbe wa kudumu wa Kamati kuu ya Chama). Hivyo, bado atakuwa na nafasi ya kujenga Chama. Waliorudi nyuma kisiasa naamini watarudi kazini na wasioitakia mema CHADEMA wataona aibu sana.
Habari ya kuwa ‘neutral’ ni unafiki! Mimi niko na Lissu! Tufanye kampeni za Kistaarabu wote hawa ni viongozi wetu ili tuendelee kutoa somo kuwa chama chetu ni cha Kidemokrasia.
View attachment 3184410
Hata Mtei n vle hajasikika tu, ila hata yeye nina uhakika hataki Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
Mbowe Mwenyewe alikiri familia yake imemtaka apumzike
 
Friends ladies and gentlemen,
Chama Cha siasa kinafaa kuongozwa na viongozi wenye mipango mikakati na maono na sio mdomo na makelele mingi...

chadema chagueni patriot Mbowe na mumkatae Puppet Lisu kwa nguvu zote 🐒
Heshima yako inazidi kushuka wewe mchumia tumbo.
 
Mimi naogopa sana kuweka matumsini kwa binadamu.lissu watu wanamwamini sana ila nina wasiwasi atakuja kuwastaajabisha.namwona ni mtu wakuongea zaidi hisia.Siasa zake nizaharakati zaidi badala ya hoja zakijamii zinazohitaji staha kuziendea.Ngoja tuone kwasababu wote wako na haki kulingana na katiba ya chama chao.Uku nje sisi niwachochea kuni tu bila kujua kilichoko ndani ya chungu.
 
Kumbe ndio maana Mbowe alizuia wanachama waliokuwa na hasira msibani wasimfanyie fujo Masauni TANGA
 
Cdm ilianza kupoteana baada ya kuuza chama kwa Edo.

Sasa hivi haijulikani inapigania nini, Yale yote yaliyopo chama tawala na kwao yapo.

..........Wanasiasa ni wahuni sana.
 
Friends ladies and gentlemen,
Chama Cha siasa kinafaa kuongozwa na viongozi wenye mipango mikakati na maono na sio mdomo na makelele mingi...

chadema chagueni patriot Mbowe na mumkatae Puppet Lisu kwa nguvu zote 🐒
Ili ccm iteleze tu sio? Msiempenda kaja mnahaha!
 
kuhusu vyama vingine andikia uzi mahususi mezani tuchangie gentleman 🐒
Wanaoumia wote ni chawa wa Ccm, vyama gani vingine vinavyopiga debe kwamba Mbowe ni masta? Vile vya mfukoni vinasubiri script toka Lumumba ndo viongee hapo badaye! Kwa ss ni uvccm kila nusu saa kuna uzi mpya hapa
 
Back
Top Bottom