Kwani huyu jamaa si producer mzuri tu sasa anafuliaje kiasi hcho wakati huku kitaa uswazi kuna madogo kibao wanajfanya wasanii unawarekodia kwa jiwe jiwe tu then unapga pesa mzuri enewei labda jamaa anataka kuimba na kukatka kweny steji siwezi jua.
KIPINDI HIKI UKITAKAKURUDI KWENYE GANE,ANZISHA UGOMVI NA MONDI AU ZUNGUMZA LOLOTE KUHUSU MONDI,HUENDA UKARUDI TENA,MONDINI BRANDI NA NI NYOTA A NDO MANA WATU WANAJISOGEZA KWAKE