Dunia imebadilika watu wanataja hadi wafanyayo kwa chumbaIn our culture, there are two things we never mention in public, your wife and your money
So sadDunia imebadilika watu wanataja hadi wafanyayo kwa chumba
Sasa ndo tuanze kubishania mke mzuri hapa!.. mbona hata mi ninae mchumba mzuri! Mambo ya ajabu hayaHili ni jukwaa kwa ajiri ya wasanii na mambo mengne yanayohusu mastaaa
Mimi nimeona ni kitu cha ajabu ndio maana nikaona nililete huku ni shee na nyie ili muone wasanii wetu wanavyokwenda kwenye interviewSasa ndo tuanze kubishania mke mzuri hapa!.. mbona hata mi ninae mchumba mzuri! Mambo ya ajabu haya
Mimi kwa upande wangu simpingi kumuona mkewake mzuri kuzidi wote kasababu kila mtu anajicho lakeSifa za mtu ni tabia njema, ukarimu, kufuata maadili
Mtu ana sifa zaidi ya uzuri wa sura
Kata wanyama kuna watu wanasema mbwa wangu mzuri
Know why?
Anamlindia nyumba vizuri
Sasa unamsifia mtu tena mke Halafu mambo yakiwa mambo uje ulie tena na ugomvi wa mirathi
Mimi sio mchimvi ila mambo haya yanatokea sana
Changamkia fursa ya kupiga ban wapuuzi kama hawa, jf kuna nafasi za kazi huko, tuma maombi upewe u mods uanze kuwaondoa hawa watoa post za kitoto πHizi sio mada za kuleta humu zimekaa kitoto Sana!
Mi kwahizi akili zangu sidhani hata Kama naruhusiwa nafaa kuwa member tu..πChangamkia fursa ya kupiga ban wapuuzi kama hawa, jf kuna nafasi za kazi huko, tuma maombi upewe u mods uanze kuwaondoa hawa watoa post za kitoto π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ameMlinganisha huyo mkewe na Wema Sepetu!...bASI MJUE KUWA Bob jr ni wazi kabisaaa anamkubali mnooo WEMA! tena kwake wema ni mzuri sana kwa nini asiseme wengine mpaka amtaje wema?
ina maana yumo akilini mwake kila siku akitembea hivi na roho yake inauma!! Wema hongera sanaaaaa!! kwa kutajwa na Mastar weye kanyaturu ka watu ni mzuri bana!! wala usiwajibu wewe ni mzuri hasa!
Huyo Bob mbona nae mrembo ivo ke hawapendagi warembo!! wao ni mume jasho tu! jeusiiii.... mla ugali hasa akikamata tonge la bingale hee! kazi kazi! ni ili alikamate vizuri! sasa mme lainiii km demu???
Dume halembi kula yeye ni kumeza matongee tuu!! bila kutafuna! limnofu la mapande kama yale ya kapir point analikata mara mbili tu! maminofu ya kiti moto anayatafuna kama simba! nyamuunyamuuu!
dakika mbili ugali kwisha ....unaandaa mwingine faster!! na kwa ajili hiii anatafuta misosi sana nyumba yake haipungukiwi! misosi ndo wanawake wooote tunapenda hii! siyo ka mwanaume kama kagonjwa vile!
sasa huy akipigwa ngumi tu na mkewe kaumuka jamani mwee ke mna kazi sana!