Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Kamjibu Wema baada ya yeye kwenda kujitangaza Bob ana mtaka. Ndo maana kamtolea mfano kwake na kusisitiza Kwa mademu wote wa bongo movie.Kama ameMlinganisha huyo mkewe na Wema Sepetu!...bASI MJUE KUWA Bob jr ni wazi kabisaaa anamkubali mnooo WEMA! tena kwake wema ni mzuri sana kwa nini asiseme wengine mpaka amtaje wema?
ina maana yumo akilini mwake kila siku akitembea hivi na roho yake inauma!! Wema hongera sanaaaaa!! kwa kutajwa na Mastar weye kanyaturu ka watu ni mzuri bana!! wala usiwajibu wewe ni mzuri hasa!
Huyo Bob mbona nae mrembo ivo ke hawapendagi warembo!! wao ni mume jasho tu! jeusiiii.... mla ugali hasa akikamata tonge la bingale hee! kazi kazi! ni ili alikamate vizuri! sasa mme lainiii km demu???
Dume halembi kula yeye ni kumeza matongee tuu!! bila kutafuna! limnofu la mapande kama yale ya kapir point analikata mara mbili tu! maminofu ya kiti moto anayatafuna kama simba! nyamuunyamuuu!
dakika mbili ugali kwisha ....unaandaa mwingine faster!! na kwa ajili hiii anatafuta misosi sana nyumba yake haipungukiwi! misosi ndo wanawake wooote tunapenda hii! siyo ka mwanaume kama kagonjwa vile!
sasa huy akipigwa ngumi tu na mkewe kaumuka jamani mwee ke mna kazi sana!
Kuna vuguvugu kati ya Wema vs Bob siku mbili tatu zilizo pita ndo maana.