TANZIA Bob Makani afariki dunia

Wekeni eulogy yake kwa maana ya wasifu wake kamili alipokuwa hai, siyo mlolongo wa "RIP" tu.
 
Apate pumziko la Milele mzee Makani. Bwana ametoa Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe, Amina.
 
May God rest his soul in eternal peace~AMEN
 
RIP Mzee Makani, Mwenyezi Mungu aipokee roho yako na kuiweka mahala pema peponi, ulitekeleza kile ulichoweza katika maisha yako na kwa vyovyote vile mchango wako utakumbukwa katika mageuzi ya kisiasa ya Tanzania.
 
RIP Mzee Bob Makani......poleni sana wafiwa
 
RIP Mzee Bob Makani na poleni wafiwa.
Poleni wana Mageuzi na poleni Wapenda haki.
Poleni wana Chadema na poleni Watanzania.
 
Mungu awape wanachadema,familia, na watanzania kwa ujumla faraja katika kipindi hiki cha majonzi.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake litukuzwe.
 
Yeye katangulia sisi tutafuatia,R I P Makani
 
Mwenyezi akutangulie mzee wetu,mwambie Baba wa Taifa CDM inakaribia kuwakamata wahujumu uchumi kama enzi zake... mwambie tunamwomba apendekeze adhabu.
Na nyie kila sehemu lazima mlete visiasa vyenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…