Bob Marley aliamini Mungu kweli?

Bob Marley aliamini Mungu kweli?

ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa_chezea kiranga wewe.

IGWE, Kiranga namkubali sana kwa upande mwingine, maana hana bias na haogopi kusema kitu hata kama watu watamshangaa. Nampa big up sana.
 
Kila mtu ANA HAKI YA KUAMINI ANACHOTAKA. Sio kwa kuambiwa na viongozi wa dini, au kusoma kwenye vitabu, au kwa kufuata tamaduni fulani. Bali kwa kuutafuta ukweli na nafsi kuridhika na unachokiamini.

Nawaponda wale ambao wakiulizwa kitu chochote kuhusu imani yake atasema kwa kuwa fulani amesema hivyo...
 
kwako wewe, mungu ni nini?

Mungu ni mazingaombwe yanayotumiwa na wajanja kuwateka akili na kuwaweka wengine kwenye mstari wanaoutaka wao.

Mungu ni matumaini kwa mtu asiyejua lakini anayetaka kujifariji.

Mungu ni deal la mwenye kutaka mali kwa kutumia utamaduni wa kukubali mapokeo bila maswali.

Mungu ni sheria ya mwisho iliyowekwa na binadamu bila ya kuwa na uhakika.

Mungu ni imani ambayo ingawa wengi wanajua ina mapungufu, hawana ujasiri wa kuikana kwa sababu imejengwa na insurance policies nyingi za mioto, kufuru, laana, tamaduni etc.

Mungu (kuwepo kwake) ni uongo mkubwa kabisa usioweza kuthibitishwa kuwa kweli.

Mungu ni njia ya watawala kuendeleza tawala zao tangu enzi za kabla ya Gilgamesh, Mafirauni, wafalme wa Uchina ya kale mpaka George Bush, Barack Obama, Ahmadinejad na House of Saud.

Mungu ni uongo mzuri usioushinda ukweli mbaya.

Mungu ni meli ya Titanic, kabla hujamtest kiundani anaonekana hazami, ukimuweka katika bahari ya majaribu anaonekana kuzama kwa mitobo katika kinga zake zinayoingiza maji ya bahari ya utafiti.
 
Mungu ni mazingaombwe yanayotumiwa na wajanja kuwateka akili na kuwaweka wengine kwenye mstari wanaoutaka wao.

Mungu ni matumaini kwa mtu asiyejua lakini anayetaka kujifariji.

Mungu ni deal la mwenye kutaka mali kwa kutumia utamaduni wa kukubali mapokeo bila maswali.

Mungu ni sheria ya mwisho iliyowekwa na binadamu bila ya kuwa na uhakika.

Mungu ni imani ambayo ingawa wengi wanajua ina mapungufu, hawana ujasiri wa kuikana kwa sababu imejengwa na insurance policies nyingi za mioto, kufuru, laana, tamaduni etc.

Mungu (kuwepo kwake) ni uongo mkubwa kabisa usioweza kuthibitishwa kuwa kweli.

Mungu ni njia ya watawala kuendeleza tawala zao tangu enzi za kabla ya Gilgamesh, Mafirauni, wafalme wa Uchina ya kale mpaka George Bush, Barack Obama, Ahmadinejad na House of Saud.

Mungu ni uongo mzuri usioushinda ukweli mbaya.

Mungu ni meli ya Titanic, kabla hujamtest kiundani anaonekana hazami, ukimuweka katika bahari ya majaribu anaonekana kuzama kwa mitobo katika kinga zake inayoingiza maji ya bahari ya utafiti.

Katika ulivyovitaja, kwa mtazamo wangu vitakuwa ni kweli endapn nitaondoa neno 'MUNGU' na kuweka neno 'DINI'. Ila huo ni mtazamo wangu, na wewe una mtazamo wako pia. Kila mtu ana haki ya kuamini anachokiona ni sawa.
 
Katika ulivyovitaja, kwa mtazamo wangu vitakuwa ni kweli endapn nitaondoa neno 'MUNGU' na kuweka neno 'DINI'. Ila huo ni mtazamo wangu, na wewe una mtazamo wako pia. Kila mtu ana haki ya kuamini anachokiona ni sawa.

Hakuna mungu bila dini, na hakuna dini bila mungu.

Mungu anajengwa katika misingi ya dini, na dini isiyo mungu si dini.
 
Hakuna mungu bila dini, na hakuna dini bila mungu.

Mungu anajengwa katika misingi ya dini, na dini isiyo mungu si dini.

Dini ndio ili-invent hii idea ya Mungu. So may be tukijua chimbuko la dini tunaweza fikia makubaliano flani.
Dini za kale kabisa ambazo ndio chimbuko ya hizi tulizonazo,almost zote zilikua polytheist. Kutoka kwa ancient Egptians,Greece,Persia mpaka Roman Empire watu waliamini katika multiple deities ndio maana hizi siku saba za juma, kila siku ilitengwa kwa ajili ya one deity e.g sun-day, moon-day(monday), saturn-day(saturday) e.t.c
Sasa hizi morden religions ni reinvention ya ancient ones ila kila moja ikitaka kuja na idea ya one deity na kupigana na nyingine kua deity wao ndio halali, though ushahidi wa multiple deities katika taratibu zao za kuabudu na influence ya upagan uko wazi sana.
Kwa hiyo kwangu mimi hii idea ya God ni scrambled idea,bado ni an idea in the making,bado iko kwenye construction ndo maana ina utata mwingi sana, walioi-invent walikua na multiple deities leo watu wanaaminishwa katika one deity.Kila mtu anasema yake kuhusu God and may be Bob alikua ana idea yake ya God tofauti na tunavyoichukulia!
 
Dini ndio ili-invent hii idea ya Mungu. So may be tukijua chimbuko la dini tunaweza fikia makubaliano flani.
Dini za kale kabisa ambazo ndio chimbuko ya hizi tulizonazo,almost zote zilikua polytheist. Kutoka kwa ancient Egptians,Greece,Persia mpaka Roman Empire watu waliamini katika multiple deities ndio maana hizi siku saba za juma, kila siku ilitengwa kwa ajili ya one deity e.g sun-day, moon-day(monday), saturn-day(saturday) e.t.c
Sasa hizi morden religions ni reinvention ya ancient ones ila kila moja ikitaka kuja na idea ya one deity na kupigana na nyingine kua deity wao ndio halali, though ushahidi wa multiple deities katika taratibu zao za kuabudu na influence ya upagan uko wazi sana.
Kwa hiyo kwangu mimi hii idea ya God ni scrambled idea,bado ni an idea in the making,bado iko kwenye construction ndo maana ina utata mwingi sana, walioi-invent walikua na multiple deities leo watu wanaaminishwa katika one deity.Kila mtu anasema yake kuhusu God and may be Bob alikua ana idea yake ya God tofauti na tunavyoichukulia!

Usomi mtupu.

Kwa maneno mengine, mungu hakuumba watu, watu ndio wamemuumba mungu kama wazo lililokubalika!
 
Hakuna mungu bila dini, na hakuna dini bila mungu.

Mungu anajengwa katika misingi ya dini, na dini isiyo mungu si dini.

Kuamini uwepo wa Mungu, sio lazima utumie mawazo ya dini, bali kwa fahamu tu wa mtu binafsi. Dini ni taratabu na sheria ambazo mwanadamu amejiwekea ila kuna watu sio religious ni spiritual.

(According to Archaeology) Natufians million of years walikuwa wanaamini kuna supernatural power ila hawakuwa na dini.

Mimi naamini uwepo wa Mungu sio kwa sababu ya maneno ya dini.
 
Kuamini uwepo wa Mungu, sio lazima utumie mawazo ya dini, bali kwa fahamu tu wa mtu binafsi. Dini ni taratabu na sheria ambazo mwanadamu amejiwekea ila kuna watu sio religious ni spiritual.

(According to Archaeology) Natufians million of years walikuwa wanaamini kuna supernatural power ila hawakuwa na dini.

Mimi naamini uwepo wa Mungu sio kwa sababu ya maneno ya dini.

Unawezaje kuamini uwepo wa mungu bila kutumia dini?

In essence, kuamini kokote kule ni dini. A subscription that doesn't warrant itself through empirical verification is nothing but religious.

Hao Natufians walikuwa na dini. The millisecond unapoamini katika supernatural powers (by definition supernatural haiwezi kuwa defined empirically, that is to say naturally) ushajiingiza katika dini.

Hata Sangoma na waungwana wa Bagamoyo Mlingotini wanaamini katika dini zao, tatizo tushajizoesha dini lazima iwe ya mzungu, muarabu, mu asia au myahudi.

Wakati hata Ng'wanamalundi alikuwa mtume wa dini yake!
 
Nini chanzo cha Maisha?

Nikisema sijui utasemaje?

Kwamba sijui nini chanzo cha maisha haimaanishi chanzo ni mungu.

Kama vile nikiulizwa "Nini square root ya 2?" haimaanishi kwamba ni lazima iwe 1.
 
Nikisema sijui utasemaje?

Kwamba sijui nini chanzo cha maisha haimaanishi chanzo ni mungu.

Kama vile nikiulizwa "Nini square root ya 2?" haimaanishi kwamba ni lazima iwe 1.

Ok, kama hujui chanzo cha Maisha.
 
Bob ni snitch aliwageuka the wailers, therefore hakumwamini Mungu
 
Bob ni snitch aliwageuka the wailers, therefore hakumwamini Mungu

Kama mungu hayupo, na rationale yako ya kutosnitch ni kutoka kwa imani ya mungu, snitch bado anakuwa snitch?

Inawezekana unamuona "snitch" kwa sababu alikuwa anajiforward kama muamini mungu miongoni mwa waamini mungu wakati yeye alikaa kibiashara zaidi.

Kakuta conflict kati ya mungu na biashara, kaona biashara inavutia zaidi, kajiuliza kaona hata mungu mwenyewe ana maswali kibao, akaenda na biashara.

By the way, unaweza kufafanua zaidi kuelezea vizuri hiyo incident ya Bob kuwageuka the Wilers ilikuwaje?

A snitch is an informer, Bob ali inform vipi on "The Wailing Wailers"
 
Kiranga labda utusaidie huyo Mungu unayemtaja kama Bob anamuamini ni Mungu yupi haswa?
maana naona unaruka ruka sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom