Black Butterfly
Senior Member
- Aug 31, 2022
- 130
- 368
All stars team ya mawakiliMaombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;
1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;
2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;
3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.
View attachment 3075734
Dadeeeeeeeeeeeeki hawa sasa ndio wanasheriaMaombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;
1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;
2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;
3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.
View attachment 3075734
Tuna watakia mafanikio, maana hali si hali.All stars team ya mawakili
Niko tayari kuchangia mil 10 taslimu ili kurahisizha mchakatoMaombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;
1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;
2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;
3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.
View attachment 3075734
Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;
1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;
2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;
3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.
View attachment 3075734
Na mimi pia ntatoa 1mNiko tayari kuchangia mil 10 taslimu ili kurahisizha mchakato
Swala siyo wakala acha kuhalalisha wizi wa kura! Kura zinatakiwa zipigwe lakini taratibu kanuni na Sheria vizingatiwe. Wasimizi wasimamie wahesabu watoe taarifa sahihi siyo lazima wakala awepo. Acheni mawazo ya wizi,wizi,wizi,......Una zani tamisemi inazuia usishinde tuwaangalie mawakala wa nao wekwa na kila chama wengine wanakuwa wananjaa wempaka ijioni wanna chupa ya maji tu chukula awaja nunuliwa sasa apo una semaje
Mungu awe pamoja nawe Bob Chacha Wangwe.Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;
1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;
2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;
3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.
View attachment 3075734
View attachment 3075744
Ngoja tusikia na kuona weledi wa Jaji.Wana-Group wote mliopo hapa jukwaani na raia wengine tunawaalika kesho kwenye Kesi ya Kupinga Uchaguzi wa Serikali za Vijiji, Kamati za Mitaa na Wenyeviti wa Vitongoji kusimamiwa na Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iliyopangwa kwa mara ya kwanza kutajwa kesho saa 8 mchana Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.
Kesi itakuwa mbele ya Jaji Dyansobera.
KARIBUNI WOTE
Mabadikiko yanawezekana ni kukosa utayari tu wa chama cha kijani.jambo hili ni rahisi mno na hasa ukizingatia waleta maombi ni wazalendo lakini pia ni mawakili wangwana sana humu nchini,
maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,
nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo....
Chawa et alUna zani tamisemi inazuia usishinde tuwaangalie mawakala wa nao wekwa na kila chama wengine wanakuwa wananjaa wempaka ijioni wanna chupa ya maji tu chukula awaja nunuliwa sasa apo una semaje
Mungu akurudishie patakapopungua, aminaNa mimi pia ntatoa 1m
Jamaa una mbwembweNiko tayari kuchangia mil 10 taslimu ili kurahisizha mchakato
Huko sahihi mkuu.jambo hili ni rahisi mno na hasa ukizingatia waleta maombi ni wazalendo lakini pia ni mawakili wangwana sana humu nchini,
maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,
nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo....